monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,307
motivation speaker
Motivation speaker
Motivation speaker
Motivation speaker
Motivation speaker
Motivation speaker
motivation speaker
kushirikisha watu kwani lazima uchukue pesa?Na asipo shirikisha watu mtamuita mbinafsi asiye penda saidia wenzake.
Mkuu hata kanisani unatoa sadaka!kushirikisha watu kwani lazima uchukue pesa?
kama wanafundisha waseme kuwa hili ni darasa kwahyo watu walipe adaMkuu hata kanisani unatoa sadaka!
Shule ulisoma bure? hukulipia ada?
Kwani unatoa sadaka au unawekeza?Mkuu hata kanisani unatoa sadaka!
Shule ulisoma bure? hukulipia ada?
mwambie huyo jamaa hajielewiKwani unatoa sadaka au unawekeza?
kama wanafundisha waseme kuwa hili ni darasa kwahyo watu walipe ada
Swala sio mtihani wala majibu, swala ni kwamba mtu anatumia muda wake na lazima ujue time is money! Sasa wewe unataka ufundishwe bure duuh!Ushawahi kuona wapi unasoma shule afu mitihani anakufanyia mwalimu we kazi yako kutoa ada na kusubiri matokeo?
tatizo lako ni mgumu kuelewaNakumbuka walisema ni darasa na unatakiwa ulipie fee!
Swala sio mtihani wala majibu, swala ni kwamba mtu anatumia muda wake na lazima ujue time is money! Sasa wewe unataka ufundishwe bure duuh!
Tatizo lako unapenda vitu vya bure.tatizo lako ni mgumu kuelewa
Over
nyie ndio mnapenda vya buree kudadeki zenu mtalamba jokerTatizo lako unapenda vitu vya bure.
Ahahah dah! Maisha yangekuwa rahisi hivyo tusingehangaika na kama tunavyohangaika sasaDuu nilishafanya nao mchakato nijiunge na jatu wamenambia ada ni 30,000 ndo nlkuwa najipanga niingie,wanasema wanatoa mikopo isiyo na riba afu uwe active member,at least everythree months uwe unanunua bidhaa zao.
Wanakupa mchanganuo wa gharama za kulima zao fulani kisha Wanakutafutia shamba, wanakulimia(vibarua+madawa/mbolea), wanakuhifadhia wanakutafutia soko then utalipwa kutokana na bei ya soko la zao husika
Nikusahihishe tu huyu uliemjibu hawezi "kupigwa" na Ontario. Sababu kila uzi au comment ONTARIO akisemwa vibaya lazima jamaa aingie amtetee. Wanahusianaje hapo sielewi.nyie ndio mnapenda vya buree kudadeki zenu mtalamba joker
Mmepigwa na ontario
Mmepigwa na mr kuku
Soon
Mnapigwa na hao jatu
Mtapata akili
Hebu niunganishe nao mimi fasta mkuu. Nina sababu mbili za kujiunga nao harakaDuu nilishafanya nao mchakato nijiunge na jatu wamenambia ada ni 30,000 ndo nlkuwa najipanga niingie,wanasema wanatoa mikopo isiyo na riba afu uwe active member,at least everythree months uwe unanunua bidhaa zao.
Wanakupa mchanganuo wa gharama za kulima zao fulani kisha Wanakutafutia shamba, wanakulimia(vibarua+madawa/mbolea), wanakuhifadhia wanakutafutia soko then utalipwa kutokana na bei ya soko la zao husika
Imawezekana wanashirikiana utapeliNikusahihishe tu huyu uliemjibu hawezi "kupigwa" na Ontario. Sababu kila uzi au comment ONTARIO akisemwa vibaya lazima jamaa aingie amtetee. Wanahusianaje hapo sielewi.
Mengine endeleeni wenyewe
Utajuaje wewe ni wa mwanzo mwanzo?Hebu niunganishe nao mimi fasta mkuu. Nina sababu mbili za kujiunga nao haraka
1. Kwenye mifumo ya aina hiyo ya upigaji kama ya upatu vile kama ilivyokuwa DECI wewe wekeza haraka haraka mapema kabisa mwanzo mwanzo. Tena weka hela ndefu ndefu,vuna vuna fasta fasta halafu shtuka kaa pembeni na pesa yako ndefu uliyovuna mara 3 mpaka 4 ya mtaji wako
2. Ukiwa muoga kila wakati huwezi kufanikiwa. Risk takers mara zote ndio zinazotusua
Duu nilishafanya nao mchakato nijiunge!!
Wanakupa mchanganuo wa gharama za kulima zao fulani kisha Wanakutafutia shamba, wanakulimia(vibarua+madawa/mbolea), wanakuhifadhia wanakutafutia soko then utalipwa kutokana na bei ya soko la zao husika