SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 512
- 1,213
Atimiza miaka 37 leo.
Nlitaka kushangaaHapana mkuu mbona nimecheki nimekuta kazaliwa 26 July 1967
Atimiza miaka 37 leo. View attachment 2332738
ndo msanii pekee kila mkakati wa kuiba au uharifu huwa anafanikiwa hadi mwishoMovie yoyote ukikuta kuna huyu jamaa na Vin diesel lazima inakuwa movie kali sana huna haja ya kutafuta synopsis yake we nunua tu kaangalie home.
Wanyama wakali sana kwenye action movies
Hivi ukilala na mwanamke mnene unamkumbatia vip 🙂Hivi siri ya wazungu kupenda hizi "English figure " ni nini?
Sio caucasian 'wazungu' pekee binafsi ndio mikato yangu. English figure ni sign of good health. Good health is a relatively accurate sign of good genes. Good health and genes means better chance at survival for offspring.Hivi siri ya wazungu kupenda hizi "English figure " ni nini?
Atimiza miaka 37 leo. View attachment 2332738
Ya kustaafu au?kawaida tu mbona Onyango wa Simba ana 21 yrs.View attachment 2332960
Miaka 37 ya uigizaji au?Atimiza miaka 37 leo. View attachment 2332738
Anabandua demu hadharaniKuna hii Crank: high voltage, yazamani kidogo 2009
Atimiza miaka 37 leo. View attachment 2332738