ASIKARI
Member
- Oct 17, 2012
- 92
- 19
kwanza nasema asanteni sana wataalam wote kwa kutupa tiba bure humu jf.
ndugu zangu mi nina tatizo la KUTOKWA NA JASHO SANA KWAPANI, hali hii inaninyima raha sana. Mwanzo nilikua natoa harufu ya jasho nikashauriwa nitumie DEODORANT, harufu ikakata ila jasho bado..Msaada wenu tafadhari katika hili.
ndugu zangu mi nina tatizo la KUTOKWA NA JASHO SANA KWAPANI, hali hii inaninyima raha sana. Mwanzo nilikua natoa harufu ya jasho nikashauriwa nitumie DEODORANT, harufu ikakata ila jasho bado..Msaada wenu tafadhari katika hili.