aseeeh inabid wapewe nafasWapo kina asumpta mshana, Asha bakari (RIP)
mbona kibabu au ndo suluba na msoto wa maisha
Hawez ata kunyoa ndevumbona kibabu au ndo suluba na msoto wa maisha
Kwahiyo ulikuwa unashauri wamchukue Samata ndio awe mkurugenzi?
Wanaume na mipasho yaomiaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
haaa, aaah wapAlikuwa mchepuko WA Bila shaka, baadaye ukamzingua??
Wewr upo kwenye kundi gani mkuu,? Maana nimefurahishwa sana na jinsi unavyojua networth za watumiaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Hii Bank ilifunguliwa kiSIASAOkay..ameoa??
Afu hii Bank bado sana japo kama he's a visionary tunaweza ona kitu...
Wangapi hata wana akaunti huko???.!simjui yeyote
Hii Bank ilifunguliwa kiSIASA
na MKWERE...haikuwa na maana yoyote!
Kwanini anaongoza benki ya wanawake??? Wanawake hawawezi kujiongoza???