Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,183
- 56,699
hahahahahah,u made my night mateafu asubui ikapande bullet train, hata Mungu alijuaga tu
hahahahahah,u made my night mateafu asubui ikapande bullet train, hata Mungu alijuaga tu
na weupe wa raysie tunajadili DNA ya Tiffah!!
hahahahahaKuna wakati mtu unaweza jikuta unakufuru kwa kujiuliza why nilizaliwa Tanzania
Nimemrushia yule Msouth eti akaanza maombi kumuombea kwa mungu!! Nikamwambia wengine wako bar wamelala kwenye viti hadi asubuhi nahisi hata maombi kayaachahhahahahahaha Ng'wanapagi eti hata Mungu kama alijuwa,sasa mtu anakunywa pombe mpaka anafikia hali hiyo,tembea uone
hatarUku bongo tumekalia kuhesabu idadi ya majipu yaliyo tumbuliwa tz
yeah sureKuna wakati mtu unaweza jikuta unakufuru kwa kujiuliza why nilizaliwa Tanzania
nmependa imani ykoMungu atuangalie nasi tujefikia huko
Naamini tutafika tu
Aliyeleta ule uzi ni mwanaume wa dsm
kwa yaliotokea zanzibar yale lazima mtu ujiulize mara mbili kwann watu wanataka kusalia madarakan kwa njia yeyote ile..kama issue ingekuwa ni kuwatumikia wanachi tu sidhan kama watu wangekua wanafny rafu ili wasalie madarakan au waingie madarakan kwa kitumia nguvu nyingi vile.......Nchi nyingi za kiafrika viongozi sio committed ktk maendeleo they are just overwhelmed na political goals it is just being elected and re-elected. Nchi inatakiwa iendeshe like a business entity lazma tujue faida na hasara.. ukiona wamarekani wanaingia vitani ni for their nationa economic interest na wellbeing ya watu wao.
Sisi wa africa ni siasa tu mwanzo mwisho, bado tunahangaika na those three basic needs na i hope 300 years later bado tutakua tunazungumzia madawati ya wanafunzi
Magufuli ana dira gani?Nafikiri tukipata viongozi wenye dira na maono kama Magufuri kwasasa(27th March 2016) tunaweza kusogea labda 2060 huko manake kwa sasa tunazo changamoto lukuki,Tujitahidi kufanya kazi kwa bidii na kujitahidi kulipa kodi inavyostahili
Nani mkuu alikuwa boss wa mkoa?Afu alikuwa mkuu wa mkoa
Na machozi anadondosha kabisa ili aonewe huruma.Watz tunachojua ni kutongoza na kungonoka 2...mtu ana PhD anaomba msaada wa maisha
Ny@mbf zenu!kwa viongz wenu wa mafccm msitegeme maafanikio!yoyote,Mungu atuangalie nasi tujefikia huko
Naamini tutafika tu
Unaonekana huu ndo usafiri wako mkubwa "Euro star",karibu tena mtt mzuriNi kama ukiwa unatoka Paris pale Gare du nord unakwenda zako London pale st Pancras lazima upite kwenye tunel pale chini ya North sea.Wajapani hongereni
Duh!!!we mtu!!!be serious ndugu!!ndo Kwanza 2016,sasa mpaka Ikifika 2800,hao wajapan watakuwa wapi??tutafika tu mwaka 2800 tuvute subira
Usitegemee mwanaume wa dar kuja kukupa jibu, naona wameanzisha uzi mwingine kule kuwa Vanessa anapenda pesa kuliko mapenzi.eti nyie wanaume wa Dar, lile la mwakyembe bado lipo hapo Dar ?