JFK? Mwaka? Pope naye alipigwa shaba lini?J. Kennedy alipigwa sembuse hyu mstaafu?
Kulindwa hufunikwi kama koti bado utadunguliwa tu.
Ndio umeona sasaJFK? Mwaka? Pope naye alipigwa shaba lini?
Baada ya tukio hilo, watu wamewekeza kiasi gani kulinda viongozi? Unadhani ni rahisi kumdungua Biden au Trump wakati huo? Boris? Macron, Putin etc? Au wamarekani wote wanawapenda viongozi wao? Unawasikia jinsi wanavyowapigana shaba kitaa? Mpaka sasa hawajamgonga hata mtendaji wa kijiji tu, iwe mstaafu wa juzi tu wa Japan?
Kwa huu umri wangu huyu ndo kiongozi wa kwanza kusikia kala chuma hadharani.
Sijapewa sababu maana kwa sasa nakula kwa urefu wa kamba yangu bila bughudha🤣🤣Kajaribu wewe huo udhubutu nani hapendi maisha yake.
Na waliokoswa kidogo tu ni Henry Ford na Ronald Reagan.Naam USA imepoteza marais 4 kwa waliouwawa kwa kupigwa risasi. Abraham Lincoln ambaye aliuawa mwaka 1865, James Garfield aliuawa mwaka 1881, William McKinley aliuawa mwaka 1901 na John F Kennedy aliuawa mwaka 1963.
Robert Kennedy aliuawa mwaka 1968 na sio miaka ya 70.
Nadhani saadat tofauti na huyu
Maana huyu alikua mstaafu hlaf kapigwa tu namtu
Ila saadat kama sijakosea alikua bado raia pia kama sijakosea alitunguliwa na mlinzi wake
Ila saadat alipewa alichostahili UMBWA mkubwa yule
Sent using Jamii Forums mobile app
Anwar Sadat aliuawa na kikosi cha jeshi ambacho kilijiingiza kinyemela kwenye gwaride lililokuwa linapita mbele yake.Ila saadat kama sijakosea alikua bado raia pia kama sijakosea alitunguliwa na mlinzi wake
Sadat aliuawa na kikundi cha kigaidi cha Islamic jihadi kilichochukizwa na mapatano yake ya amani na Israel.Anwar Sadat aliuawa na kikosi cha jeshi ambacho kilijiingiza kinyemela kwenye gwaride lililokuwa linapita mbele yake.
Wanajeshi walichukia kwa vile alishafikia makubaliano baina yake na Israel na waarabu hawakupenda kabisa.
Waliona kama amewasaliti wote wale waliopotea kwenye '6 days war'.
Hiyo terminology ya islamic jihad haikuwepo enzi zile.Sadat aliuawa na kikundi cha kigaidi cha Islamic jihadi kilichochukizwa na mapatano yake ya amani na Israel.
Nasikia alishapass away...alifungwa na alipomaliza kifungo baadae alipass away na inasemekana upstairs hakuwa well.Analimia meno huko alipo
Ndio walivyojiita na mmoja wao aliyekamatwa na kufungwa muda mrefu kabla ya kuachiwa ni Zawahiri kiongozi wa Sasa wa Al-qaeda na mrithi wa Osama bin Laden.Hiyo terminology ya islamic jihad haikuwepo enzi zile.
Ni mshenzi tuu aliyefanya hivyo maana ameleta huzuni Duniani huyu bwana alikuwa maarufu Sana na kioo kwa wengi 👇
Propaganda ya kimarekani hiyoNdio walivyojiita na mmoja wao aliyekamatwa na kufungwa muda mrefu kabla ya kuachiwa ni Zawahiri kiongozi wa Sasa wa Al-qaeda na mrithi wa Osama bin Laden.
Kwahiyo?Propaganda ya kimarekani hiyo
Japan ni rafiki mkubwa wa maendeleo ya Tanzania ,Salamu za rambirambi kutoka kwa mh.Rais Samia👇RIP Ex PM Shinzo Abe...
Alikufa kitamboYule dogo sijui Yuko wapi kwa Sasa.
Kulazimisha link ya AlqaedaKwahiyo?
Hii ni propaganda yakoKulazimisha link ya Alqaeda
Alifia jela au kwa ugonjwa?Alikufa kitambo