Japan, the most sexless nation. Karibia nusu ya wanawake wenye miaka 34 ni mabikira


Mimi ni mbaguzi tipikali.

Siwezi kuacha wasichana wenye asili yangu wakose waume kisa bikra za wageni hao wazungu sijui wajapa, sijui waarabu.

Ni bora nioe malaya wa kibongo anipasue kichwa kuliko nichukue bikra wa kijapan au kizungu nimpe heshimaa.
Ugomvi wangu na dada zangu kuhusu bikra hautaisha lakini hautanifanya niwape heshima race zingine.

Mimi sio wale wanaume ambao wanajifanya wanawapenda ninyi wakati wakiletewa mzungu au muarabu wanawaacheni na kuwatukana.

Mbongo mtamu mbali na mapungufu yake,

nawapenda wabongo mpaka kufa, ukitaka ujue Jokajeusi ni nani, ni mdharau mwanamke wa kibongo mbele ya mzungu au hao wageni nitakupiga makofi uchakae.
Ukimdharau mwanamke mbongo mbele za sisi wabongo sitakufanya kitu, hiyo ni kawaida kwani ni kufundishana.

Nawapenda wanawake zangu, mwaaah
 
Ni kweli lakini baadhi ya fact zako sijazikubali embu fwatilia dockmentary moja kule RT ili upate maarifa zaidi.
 
HUU UTAFITI HAUNA MAANA SABABU JAPANI IPO tOP 11 KWA NCHI ZENYE WATU WENGI DUNIANI NA UKILINGANISHA NA UDPGP WA ENEO LAO MAANA YAKE NDIO NCHI INAONGOZA KWA KUZALIANA SANA.
 
Niko nae mmoja hapa ukimpelekea moto sana atalia kama nyau. Unashindwa kuelewa ni raha au tabu tupu.
 
Kumbe Ndiyo siri mojawapo ya kuwafanya watu wa Japan kuishi maisha marefu sana duniani kote.
Hakuna kitu kama hicho wagiriki wana 81.39 life expectacy wameachwa kidogo sana na wajapan wenye 84.10 woote wapo mule mule kwenye 80's .

Sasa wewe usitompe ukitarajia kuishi hadi miaka 150 uje ufe kwa kensa ya tezi dume hata miaka 50 usifike 😆
 
Sizani.

Huo utafiti usome tena!

Inawezekana ni kwa sababu death rate ipo chini sana.

Life span iko juu sana!
Umeona tofauti hapo watu wanaongonoka sanaaa pia wana life expectacy kubwa .

Na wale waiongonoka sanaaa pia wana life expectacy kubwa vile vile .
Means life expectacy haitegemeani na kufanya sex , zipo sababu nyingi tu mfano huduma za afya, chakula, vita , na uchumi.

So wewe endeleza game acha uoga.
 

Attachments

  • Screenshot_2020-12-30-20-01-14.png
    Screenshot_2020-12-30-20-01-14.png
    42 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-12-30-20-00-58.png
    Screenshot_2020-12-30-20-00-58.png
    30.2 KB · Views: 3
Tanatafuta hela ili tuenjoy life
Sasa wao wanapiga kaz na juhud zote ili iweje??
Halaf pia kuhusu ugumu wa maisha mimi siamini maana bongo tunapenda mapenzi lakini kuna umaskini wa kupindukia ukilinganisha na japan
 
Nahamia Japan maana kule swaziland kwa king mswati yeye ndie mwenye hati miliki ya hiyo kitu.
 
Japan ndiyo nchi ambayo watu wake hawapendi ngono zaidi hapa duniani. Nusu ya wanawake wenye umri wa miaka 34 ni mabikra, na kwa upande wa wanaume wenye umri huo ambao ni mabikra ni 43% .

Kwa wastani mjapan hufanya ngono mara 45 tu kwa mwaka ikilinganishwa na Ugiriki ambako watu wake (wapenda ngono zaidi duniani) hufanya ngono mara 240 kwa mwaka.

Sababu za wajapan kutopenda ngono zinatajwa kuwa ni pamoja na:-
..ugumu wa maisha
..ubize (wajapan wanapiga kazi Sana) kutafuta hela
..mtazamo wa jamii juu ya ngono na kungonoka. Japan hakuna anayethubutu kuongelea ama kuashiria mambo ya ngono hadharani. Siyo kama hapa bongo.
View attachment 1662758
Nimewapa masela taarifa hizi kwa sasa wapo hapa wanafanya booking ya ndege.
 
Back
Top Bottom