ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Mbona nilisikia regan alivyotembelea Japan alionyeshwa mtambo ambao kama marekani ikirusha tena lile kombora la nyuklia inalirudisha mpaka marekani na kulilipulia huko? au ni story za kijiweni. Inasemekana baada ya regan kuonyeshwa hivyo alizimia