PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,558
- 15,563
Hilo ni mojawapo tu kati ya mambo mengi, na bahati mbaya zaidi hatutaki kukubali mapungufu hayo ile tupo busy kujishindanisha kwenye viwango vya ubora na tukijidhani kuwa sisi ni bora kabisa na the most blessedUnamaanisha wanatumia nguvu nyingi akili kidogo?