Elections 2010 January Makamba usituchezee

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Huyu mtoto wa makamba January hana adabu. Ana majina mengi sana humu Jamii Forums, Kwa jina lake jingine JOKAKUU, nanuu aliyaandika,

kwangu mimi huu uchaguzi umekwisha na JK ndiyo Raisi.
..matokeo haya yamenisikitisha sana, kwasababu naamini kabisa Slaa au Lipumba ni more capable kuliko JK...sasa CCM ina tabia ya "kujivua ngozi" ngozi kila inapofikia wakati wa kubadilisha mgombea Uraisi...kwa mtizamo wangu January Makamba,Magufuli,Membe,na Migiro, wanapaswa kuangaliwa kwa umakini sana kuelekea mwaka 2015...wapinzani wajiandae jinsi ya kupambana na yeyote kati ya hao itakapofika 2015.


Familia ya makamba itatuona wapumbavu hadi lini? Tumesoma zaidi ya january, lakini kipato chetu haiwezi kumlipia mtoto chuo, licha ya kuishi kwenye nyumba ya maana.il hali january makamba anakuja humu kututukana kwamba atatuongoza. January umeshaonyesha huchu wako wa madaraka kama baba yako fisadi. Tunakusoma na kukuona, usidhani hii nchi ni ya baba yako, tuna hasira sana, majonzi makubwa wewe unacheza, jihadhari sana kijana. Usidhanie mtatunyanyasa milele
 
Mleta thread naomba umuombe radhi mchangiaji makini kabisa wa JF huyu Ustaadh Jokakuu..binafsi ni mmojawapo wa watu ambao siwezi kuacha kusoma posts zake nadhifu na sidhani kama uelewa wake mkubwa unaeza kuwa matched na any of the Makambaz.
 
Huyu mtoto wa makamba January hana adabu. Ana majina mengi sana humu Jamii Forums, Kwa jina lake jingine JOKAKUU, nanuu aliyaandika,

kwangu mimi huu uchaguzi umekwisha na JK ndiyo Raisi.
..matokeo haya yamenisikitisha sana, kwasababu naamini kabisa Slaa au Lipumba ni more capable kuliko JK...sasa CCM ina tabia ya "kujivua ngozi" ngozi kila inapofikia wakati wa kubadilisha mgombea Uraisi...kwa mtizamo wangu January Makamba,Magufuli,Membe,na Migiro, wanapaswa kuangaliwa kwa umakini sana kuelekea mwaka 2015...wapinzani wajiandae jinsi ya kupambana na yeyote kati ya hao itakapofika 2015.


Familia ya makamba itatuona wapumbavu hadi lini? Tumesoma zaidi ya january, lakini kipato chetu haiwezi kumlipia mtoto chuo, licha ya kuishi kwenye nyumba ya maana.il hali january makamba anakuja humu kututukana kwamba atatuongoza. January umeshaonyesha huchu wako wa madaraka kama baba yako fisadi. Tunakusoma na kukuona, usidhani hii nchi ni ya baba yako, tuna hasira sana, majonzi makubwa wewe unacheza, jihadhari sana kijana. Usidhanie mtatunyanyasa milele

Pole na wivu wako. Ccm inapeta na kutojua kusoma alama za wakati omba msaada jk ndo rais na kina january. Wanafuata we kaa na ujinga wako wa chadema
 
Huyu mtoto wa makamba January hana adabu. Ana majina mengi sana humu Jamii Forums, Kwa jina lake jingine JOKAKUU, nanuu aliyaandika,

kwangu mimi huu uchaguzi umekwisha na JK ndiyo Raisi.
..matokeo haya yamenisikitisha sana, kwasababu naamini kabisa Slaa au Lipumba ni more capable kuliko JK...sasa CCM ina tabia ya "kujivua ngozi" ngozi kila inapofikia wakati wa kubadilisha mgombea Uraisi...kwa mtizamo wangu January Makamba,Magufuli,Membe,na Migiro, wanapaswa kuangaliwa kwa umakini sana kuelekea mwaka 2015...wapinzani wajiandae jinsi ya kupambana na yeyote kati ya hao itakapofika 2015.


Familia ya makamba itatuona wapumbavu hadi lini? Tumesoma zaidi ya january, lakini kipato chetu haiwezi kumlipia mtoto chuo, licha ya kuishi kwenye nyumba ya maana.il hali january makamba anakuja humu kututukana kwamba atatuongoza. January umeshaonyesha huchu wako wa madaraka kama baba yako fisadi. Tunakusoma na kukuona, usidhani hii nchi ni ya baba yako, tuna hasira sana, majonzi makubwa wewe unacheza, jihadhari sana kijana. Usidhanie mtatunyanyasa milele

Haa haaa ccm bana mnaanza kuumbuana eeeh...! Tuambie wewe pia ni nani......Membe..?
 
Kwanza kulikuwa na habari za sherehe za kuapishwa Silaa halafu kulikuwa na habari za watu kuaga nyumbani kwa sababu wataingia mitaani kwenye Pipoz Pawa... Sasa imebaki story tu.

Anyway, hapa ni story tu, kula kila mtu kwao! Teh teh teh!!!!!
 
Back
Top Bottom