AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
kaandika hivi leo kwny fcbk wall yake.
"Matukio yanayotekea hivi leo bungeni yananikumbusha makala yangu niliyoiandika mwaka 2008, Je kwa hali hii tunahitaji uongozi wa kidikteta?"
my outlook:
Haihitaji elimu ya chuo kikuu kubaini kuwa Jmakamba anampiga vijembe nani hapo.
"Matukio yanayotekea hivi leo bungeni yananikumbusha makala yangu niliyoiandika mwaka 2008, Je kwa hali hii tunahitaji uongozi wa kidikteta?"
my outlook:
Haihitaji elimu ya chuo kikuu kubaini kuwa Jmakamba anampiga vijembe nani hapo.