January is weak and arrogant,
ameachwa kwa mbaali Sana Na Mwigulu.
Alipopata ubunge alijiweka Sana karibu Na wananchi hasa vijana,akasifiwa na kila mmoja wetu, hadi wapinzani, alipopewa unaibu waziri majigambo yakaanza, tambo zoote za kesi za Mtandao Ni yeye, bado vurugu za uchaguzi mkuu Na kuvunjia wananchi Nyumba hasa WA Dar es salaam alipopata uwaziri kamili....
Amuige Nchemba, anajifunza Na kujitekebisha upesi Sana.
Nikikumbuka namna alivotamba Na uchaguzi mkuu 2015, sina hamu nae... Pengine labda ajirudi na atambue hii Ni nchi ya wenye vyama Na wasio Na vyama.......