Kuzomewa hakutoshi...Nasema na Apigweeeee-eeee (Gwajima 2015) kwani kijana amezoea kuwafanya Wana Bumbuli mazezeta huyo.
Mara sijui kaanzisha Bumbuli Development Trust Funds,ku solicit pesa kutoka kwa donors na wawekezaji. Na vyote hivyo anaviendesha yeye mwenyewe kama January badala ya wana Bumbuli wenyewe. Kijana ana ego mbaya sana ya umimi na kuwafanya watu wengine wooote mafala, inatia matumaini kuona kuna wana Bumbuli wamechoshwa kufanywa malofa na kutumiwa kama miradi ya wajanja.
Leo ni leo Na Apigweeee huyooo!...Waswahili husema "Mjinga akierevuka basi mjanja yuko mashakani'