January Makamba anaongea kwa vitendo, umeme watengamaa

sasa ulitaka mvua zisinyeshe ? nyie ndiyo huwa mnasababisha mvua zisinyeshe kumbe tushawajuwa
Hujaelewa nilichoandika,na siyo wewe tu bali wengi hawataelewa.Kwanza unaelewa kuwa suala la mvua kunyesha linapaswa kuwa ni mipango ya binadamu na wala siyo kudra?Pia unaelewa kuwa Taifa haliwezi kuendelea kwa kutegemea kudra?
 
Baada ya kelele nyingi zilizotokana na kukatika kwa umeme mara kwa mara wakati tanesco wakifanya marekebisho kwenye mkongo wa taifa na kutokana na kupungua kwa maji katika mabwawa ya umeme hatimaye nchi imetulia baada ya wiki kadhaa kuwa na utengamano na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme.

Waziri Makamba na timu yake akiwemo ndugu Maharage Chande Mkurugenzi wa TANESCO wamefanikiwa kufanya kazi kwa vitendo na sio kwa maneno na kuwaacha wabaya wao midomo wazi. Ni matumaini yeti watanzania kufika mwakani tutakua na umeme wa uhakika na ziara kutokana na vyanzo mbalimbali vya umeme nchini vikiwemo Gesi na upepo.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Tuwe wakweli hapa. Tatizo la kukatika kwa umeme lilianza alipoingia yeye uongozini. Kuhalalisha tatizo akasema tatizo ni la mwendazake. Sasa imekuwaje achukue sifa za kuutengemeza tena?
Bwala la JHPP likamilke hata kama hataki. Halafu ndio zianze hizi hadithi nyingine
 
Bila shaka mtoa maada unafanya utafiti kwa namna ya kumsifia waziri ili ufahamu tatizo la umeme kukatika katika kama bado lipo. Mimi nakujibu tu kwa ufupi. TATIZO LIZOELEKA SAIZI
 
HUU NI UONGO WA KIWANGO CHA LAMI UMEME BADO UNAKATIKA SANA TU HALAFU HAWATOI HATA TAARIFA UNASHANGAA MARA PAAAP.

NAWAKANYA TANESCO MKIUNGUZA VITU TUNAPELEKANA MAHAKAMANI.
 
Tuwe wakweli hapa. Tatizo la kukatika kwa umeme lilianza alipoingia yeye uongozini. Kuhalalisha tatizo akasema tatizo ni la mwendazake. Sasa imekuwaje achukue sifa za kuutengemeza tena?
Bwala la JHPP likamilke hata kama hataki. Halafu ndio zianze hizi hadithi nyingine
Alidai Mashine ziliwashwa mfululizo bila kuzimwa for routine maintenance so mitambo ikawa worn out.

Umeme ulikatika katika sababu ya ukame na hizo scheduled maintenance.

Solution ilikia utilization ya mabwawa yaliyobakia na kuongeza vituo vya umeme wa gesi.

Sasa umeme umeanza kutengemaa taratibu bado mnakejeli? Ameomba muda subirini walau mpaka january ndio mumkosoe. Mtu hana hata siku 100 tayari kukatishana tamaa!!

We are not being fair
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Baada ya kelele nyingi zilizotokana na kukatika kwa umeme mara kwa mara wakati tanesco wakifanya marekebisho kwenye mkongo wa taifa na kutokana na kupungua kwa maji katika mabwawa ya umeme hatimaye nchi imetulia baada ya wiki kadhaa kuwa na utengamano na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme.

Waziri Makamba na timu yake akiwemo ndugu Maharage Chande Mkurugenzi wa TANESCO wamefanikiwa kufanya kazi kwa vitendo na sio kwa maneno na kuwaacha wabaya wao midomo wazi. Ni matumaini yeti watanzania kufika mwakani tutakua na umeme wa uhakika na ziara kutokana na vyanzo mbalimbali vya umeme nchini vikiwemo Gesi na upepo.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Nafikiri huku kuimba sifa hewa ni upungufu wa maadili na heshima kwa waTanzania bila sababu; hivi unathubutuje kusema hivyo wakati Mbeya na Iringa kila baada ya nusu saa umeme unakatika bado unaleta kelele za sifa za ovyo kwenda kwa mtu ambaye hana uwezo wa kutatua tatizo zaidi ya siasa zenye maslahi?
 
Baada ya kelele nyingi zilizotokana na kukatika kwa umeme mara kwa mara wakati tanesco wakifanya marekebisho kwenye mkongo wa taifa na kutokana na kupungua kwa maji katika mabwawa ya umeme hatimaye nchi imetulia baada ya wiki kadhaa kuwa na utengamano na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme.

Waziri Makamba na timu yake akiwemo ndugu Maharage Chande Mkurugenzi wa TANESCO wamefanikiwa kufanya kazi kwa vitendo na sio kwa maneno na kuwaacha wabaya wao midomo wazi. Ni matumaini yeti watanzania kufika mwakani tutakua na umeme wa uhakika na ziara kutokana na vyanzo mbalimbali vya umeme nchini vikiwemo Gesi na upepo.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE

Dah huku niliko wameacha kukata.....makamba ameanza vizuri
 
Alidai Mashine ziliwashwa mfululizo bila kuzimwa for routine maintenance so mitambo ikawa worn out.

Umeme ulikatika katika sababu ya ukame na hizo scheduled maintenance.

Solution ilikia utilization ya mabwawa yaliyobakia na kuongeza vituo vya umeme wa gesi.

Sasa umeme umeanza kutengemaa taratibu bado mnakejeli? Ameomba muda subirini walau mpaka january ndio mumkosoe. Mtu hana hata siku 100 tayari kukatishana tamaa!!

We are not being fair
Hakuna fairness mzee sisi tunataka umeme sio porojo. Na kazi zenye weledi na kujari maslahi mapana ya nchi
 
Baada ya kelele nyingi zilizotokana na kukatika kwa umeme mara kwa mara wakati tanesco wakifanya marekebisho kwenye mkongo wa taifa na kutokana na kupungua kwa maji katika mabwawa ya umeme hatimaye nchi imetulia baada ya wiki kadhaa kuwa na utengamano na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme.

Waziri Makamba na timu yake akiwemo ndugu Maharage Chande Mkurugenzi wa TANESCO wamefanikiwa kufanya kazi kwa vitendo na sio kwa maneno na kuwaacha wabaya wao midomo wazi. Ni matumaini yeti watanzania kufika mwakani tutakua na umeme wa uhakika na ziara kutokana na vyanzo mbalimbali vya umeme nchini vikiwemo Gesi na upepo.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Kelele zeru ndiyo zimesaidia.

Hakuna bwawa lililokuwa limekauka. Mvua zilinyesha mfurulizo tena kwa kiwango cha juu hivyo kwa hicho kipindi kifupi mabwawa yasingekauka.

Kelele zetu zimezima ndoto za. January
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom