MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
polititians will promise to build bridges even if there are no rivers
Nakuambia imetu shika pabaya. mpeni kura MwanaFa awe kiongozi wenu jamani.
Si unajua yangu unayo tayari...
If I run against JM? Utani chagua mimi au yeye?
lol!, lol!,
Wewe, sasa umeanza kuwa kama kina yoyo...I might decide not to vote but, I'll be willing to work for either one...(the bodyguard)
Jamani si nataka kujua where I stand. Ili kama siyo mimi nianze kuku shawishi.
Sawa mkuu, nimekuvulia kofia kwa ujanja. Huna haja ya kunishawishi lakini.
Duh Kui nipigie kampeni basi naona jamaa anani piku kwa kura za wanawake lol. jamaa atawa disappoint wengi tu ngoja tuone.
JANUARY ni kiongozi mzuri,ni kijana aliyetulia tofauti na watoto wengi wa wakubwa,ana elimu safi,hakurupuki anapoongea!!kama hamtaki asifiwe poleni nyie!!!!!!!HABARI NDIYO HIYO!January tunakuombea Mungu akupe umri na afya njema,wengi tuko nyuma yako kukupa support
That's why I'm a politician. Who knows, maybe na mimi ni future.
He might get 80% za kura za wanawake, itakuwa patashika nguo kuchanika..
The next Obama...Clinton!
Mh if only the ladies of JF determined the presidency....
Mwana Fa!hiyo sio mipasho ni kukueleza ukweli,au umeumia????usijali wangu na wewe jitahidi tutakusifia tu!
Yo yo, alie tu...
Haha iniume wapi dada angu? Wala sina shida ya kusifiwa. You have every right kumsifia hauja katazwa dada endelea kupaisha. Itaniumaje wakati the guy is doing good? Maybe ningeona sura za wanao msifia ndiyo ningeona wivu....maybe hahaha