kwi kwi kwi kwi kwi!...shostito merry xmass!....
Watu wanampinga sana ndugu Januay Makamba (majority vijana wale wenye roho za kwa nini)...juzi hapa ndani ya white house January kapiga story na Barack Obama kuliko hata Obama alivyoongea na JK....hadi Obama mwenyewe kamkubali kuwa kIJANA January Makamba ni kichwa/Smart na ndiyo new generation leader of Tanzania au kwa maana nyingine Future leader wa Tanzania...kama akipikwa vizuri basi....olooo "Change is coming to Tanzania"
for your information,vijana wenye profile kama hii,na zaidi ya hii hapa bongo ni wengi tu......mmoja kama huyu kapata bahati ya kutoka tu,haimaanishi tuegemee kwake.....acha unyonge pia,who's Obama?? watu wamepiga stori na Nyerere,Mandela,etc na hawajisifii.....
Kazi kweli