Imekua ni mazoea kukuta magari makubwa yameharibika na kuona matawi mengi ya miti yamekatwa na kuwekwa barabarani kama ishara kwa watumiaji wengine wa bara bara ili kuchukua tahadhari.
Lakini ni mara kwa mara magari haya yakitengemaa wahusika huanza safari na kuacha haya matawi barabarani.
Haya yamekua yakileta usumbufu usio wa lazima kwa watumiaji wa barabara wafikapo eneo hilo na pia ni uharibifu wa mazingira.
Suluhisho: Waziri kutaneni na wadau wa usafirishaji mkubaliane na mwishowe muwape kazi wachina wadesign triangles kubwa ambazo hazitadondoka maeneo zitakapowekwa ili kuonyesha ubovu wa gari mbele na naamini gari likitengemaa baada ya ubovu watabeba triangle zao.
Baada ya kuleta hizo triangle kubwa marufuku ipigwe kukata miti yetu hovyo kwa ajili ya kuweka barabarani na atakayeenda kinyume basi sheria ichukue mkondo wake.
Lakini ni mara kwa mara magari haya yakitengemaa wahusika huanza safari na kuacha haya matawi barabarani.
Haya yamekua yakileta usumbufu usio wa lazima kwa watumiaji wa barabara wafikapo eneo hilo na pia ni uharibifu wa mazingira.
Suluhisho: Waziri kutaneni na wadau wa usafirishaji mkubaliane na mwishowe muwape kazi wachina wadesign triangles kubwa ambazo hazitadondoka maeneo zitakapowekwa ili kuonyesha ubovu wa gari mbele na naamini gari likitengemaa baada ya ubovu watabeba triangle zao.
Baada ya kuleta hizo triangle kubwa marufuku ipigwe kukata miti yetu hovyo kwa ajili ya kuweka barabarani na atakayeenda kinyume basi sheria ichukue mkondo wake.