Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,887
- 2,772
hii picha nimeiona muda huu kipindi cha bangi. Akapumzike kwa amani
Gama na mwenzake john komba watakufa mapema kama hawatabadilia style ya maisha yao......wana ongezeko na mlindikano mkubwa wa mafuta mwilini mwao..ambao ndio inachangia kwa kasi kikubwa heart attack.....na kwa komba ni mbaya zaidi maana mbali na kuwa na mwili ule pia ni mzinzi wa kutupwa......kitendo kile kina consume msukumo mkubwa damu na mtu kama yule vains zake hazipitishi damu balabala....soon he'll die kwa heart attack
Altitude inahusikaje hapo mkubwa?.....Halafu hiyo RIP yako ni kejeli tupu!
al·ti·tude
   [al-ti-tood, -tyood] Show IPA
noun 1. the height of anything above a given planetary reference plane, especially above sea level on earth.
2. extent or distance upward; height.
3. Astronomy . the angular distance of a heavenly body above the horizon.
4. Geometry . a. the perpendicular distance from the vertex of a figure to the side opposite the vertex.
b. the line through the vertex of a figure perpendicular to the base.
5. Usually, altitudes. a high place or region: mountain altitudes.
Gama na mwenzake john komba watakufa mapema kama hawatabadilia style ya maisha yao......wana ongezeko na mlindikano mkubwa wa mafuta mwilini mwao..ambao ndio inachangia kwa kasi kikubwa heart attack.....na kwa komba ni mbaya zaidi maana mbali na kuwa na mwili ule pia ni mzinzi wa kutupwa......kitendo kile kina consume msukumo mkubwa damu na mtu kama yule vains zake hazipitishi damu balabala....soon he'll die kwa heart attack
ni wakati sasa wa wabongo kuacha kula vyakula vya barabarani chips,kuku na mafuta mengine....pia kuanza mazoezi sio kushinda bar na kunywa pombe.....imagine dada kama huyu kafa kifo cha kujitakia naweza kusema.......kama angefuata kanuani za mlo ulio bora na kushiriki mazoezi inawezekana kabisa leo hii engekuwa bado yu hai.....heart attack nyingine sisi wanadamu tunazitafuta......
Watz mpunguze altitude yenu ya kuwa mwenye kitambi ndio mwenye afya....ati ukiwa mnene ndio una afya....rip dada jane....
Gama na mwenzake john komba watakufa mapema kama hawatabadilia style ya maisha yao......wana ongezeko na mlindikano mkubwa wa mafuta mwilini mwao..ambao ndio inachangia kwa kasi kikubwa heart attack.....na kwa komba ni mbaya zaidi maana mbali na kuwa na mwili ule pia ni mzinzi wa kutupwa......kitendo kile kina consume msukumo mkubwa damu na mtu kama yule vains zake hazipitishi damu balabala....soon he'll die kwa heart attack
mwanawe hana nguvu gani tena?
Nyie ndio mnaoifanya hii nchi iwe hapa ilipo.....gama na mwenzie komba wako kwenye hatari ya kufa any time kwa mujibu wa afya zao.....mimi siko kama wao..and i'll never be like em..never.....siwezi kuwa mlafi mpaka nikafikia huko....najali afya yangu..nakula mlo kamili..sibugii bugii hovyo arifu......suala la kufa mapema sio ishu....kuna mambo mengi ya kidunia lakini siwezi kufa kifo cha kujitakia cha kuwa mlafi kama kitakachowatokea komba na gama......Unaweza ukatangulia wewe kufa Komba na Gama wakaendelea kula maisha
Obesity ipo sana tz.....style ya maisha ya nyie wasomi mnaiga ya majuu....Obesity Tanzania???? Do u real mean what u are saying au umekariri tu!!! Hapa vitu vyote organic(Tena sio tu organic, but natural kutoka shamba lisilotiwa hata mbolea) mkuu unatoa wapi Obesity katika nchi kama hii???