Jana taifa limepoteza nafsi ya thamani sana

Jana taifa limepoteza nafsi ya thamani sana

Kesho saa 8:30pm wasukuma wote tuishio mikoani tutakua na kikao,fika bila kukosa!...dibhilinge bhangw'ise duhoye gagodomala amashimbe!
 
Nchi hii kila mtu mrembo kila mtu billionea, Kama huyu kweli kwenye picha ndiye anaitwa mrembo basi kama Taifa tuna safari ndefu sana....
Mkuu,
Tuwekee kipimo chako Cha urembo..

Nacho jua Mimi hakunaga S.I unit ya urembo..

What's beuty?? Kwa kiswahili tunasema Urembo/ ulimbwende Ni Nini??

Ndio ivyo mkuu urembo upo machoni mwa anae tazama 😊😊
 
kuna mwenye picha yake nyingine tumzoom vizuri? mbona kazidiwa na hawa sungura tope huku kigamboni..... kazidiwa hata na malaya wanaojiuza uwanja wa shababi dah......


asee alale mahala anapostahili
 
Screenshot_20240524-154939.jpg
 
Nchi hii kila mtu mrembo kila mtu billionea, Kama huyu kweli kwenye picha ndiye anaitwa mrembo basi kama Taifa tuna safari ndefu sana....
Hv ww baba unajua tofauti kati ya mwanamke mrembo na mwanamke mzuri!??

Hata mwanamke mbaya akivaa wigi kwa minajili ya kupendeza huitwa mrembo

manake amejipamba amejiremba. Muwe mnaelewa kiswahili eboo
 
Mzuka wanajamvi.

Jana Tanzania imempoteza mrembo pisii kali Penina wa Goba the undisputed beauty.

Wanaume wengi tumepokea msiba huu kwa mshtuko sana. Kwa upande wangu leo nimeamua kupumzika nakuchukua likizo ya siku moja kumuomboleza dem huyu mkali mjasiramali japo simjui wala hanijui.

Kifo hakijalitendea haki kabisa taifa letu. Ni pengo kubwa lisilozibika kamwe.

Ikumbukwe furaha ya mwanamme ni mwanamke. Demu mzuri analeta amani kwenye jamii, analeta furaha, analeta matumaini, anatupa kujiamini, they are empowering us tuzidi kujituma kutafuta hela kwa bidii ili tuwafurahishe wafurahi na wanapofurahi na sisi tunafurahi pia na jamii kwa ujumla.

Mkuu maishapopote tunaomba kujua utaratibu wa msiba na mazishi na njia ya kutuma michango ili tuomboleze na wapendwa.

Popote ulipo chukua dakika moja kusimama wima na kukaa kimya kumuomboleza huyu mrembo.

She's gone forever now every breath is a struggle.

View attachment 2998236
HUYU NDIYO DEMU MKALI?, KWELI KILA MTU NA UONI WAKE?
 
Mzuka wanajamvi.

Jana Tanzania imempoteza mrembo pisii kali Penina wa Goba the undisputed beauty.

Wanaume wengi tumepokea msiba huu kwa mshtuko sana. Kwa upande wangu leo nimeamua kupumzika nakuchukua likizo ya siku moja kumuomboleza dem huyu mkali mjasiramali japo simjui wala hanijui.

Kifo hakijalitendea haki kabisa taifa letu. Ni pengo kubwa lisilozibika kamwe.

Ikumbukwe furaha ya mwanamme ni mwanamke. Demu mzuri analeta amani kwenye jamii, analeta furaha, analeta matumaini, anatupa kujiamini, they are empowering us tuzidi kujituma kutafuta hela kwa bidii ili tuwafurahishe wafurahi na wanapofurahi na sisi tunafurahi pia na jamii kwa ujumla.

Mkuu maishapopote tunaomba kujua utaratibu wa msiba na mazishi na njia ya kutuma michango ili tuomboleze na wapendwa.

Popote ulipo chukua dakika moja kusimama wima na kukaa kimya kumuomboleza huyu mrembo.

She's gone forever now every breath is a struggle.

View attachment 2998236

Mjasiriamali wa nini? 🤔 elezea kinaga ubaga wasifa wa marehemu
 
Huu msiba umekuwaje aisee 😐 kama hapa JF imoji za vicheko ni nyingi hivi sasa msibani huko itakuwaje?
 
Siwezi kujiharibia maisha kisa mwanamke.

I have too much pride. Lots of self love. Tons of reasons to live for!

My self esteem is out of this world.

That’s why I have never been a sucker for women.

If one acts up, I keep it moving and go find another one.

Baddies everywhere.

But if you play stupid games, you will win stupid prizes.

Whoever that killed her, will get what they get.
 
Natafuta mtu atakayejinyonga kwa ajili yangu sio anichinje mimi mapanga🤸

Hii haiwezekani yani nifanyiwe ushenzi mimi afu nijitundike mim mwenyewe awapi lazima nikiwashe kwanza hata nikijitundika itakuwa ni kiroho safi
 
Mzuka wanajamvi.

Jana Tanzania imempoteza mrembo pisii kali Penina wa Goba the undisputed beauty.

Wanaume wengi tumepokea msiba huu kwa mshtuko sana. Kwa upande wangu leo nimeamua kupumzika nakuchukua likizo ya siku moja kumuomboleza dem huyu mkali mjasiramali japo simjui wala hanijui.

Kifo hakijalitendea haki kabisa taifa letu. Ni pengo kubwa lisilozibika kamwe.

Ikumbukwe furaha ya mwanamme ni mwanamke. Demu mzuri analeta amani kwenye jamii, analeta furaha, analeta matumaini, anatupa kujiamini, they are empowering us tuzidi kujituma kutafuta hela kwa bidii ili tuwafurahishe wafurahi na wanapofurahi na sisi tunafurahi pia na jamii kwa ujumla.

Mkuu maishapopote tunaomba kujua utaratibu wa msiba na mazishi na njia ya kutuma michango ili tuomboleze na wapendwa.

Popote ulipo chukua dakika moja kusimama wima na kukaa kimya kumuomboleza huyu mrembo.

She's gone forever now every breath is a struggle.

View attachment 2998236
Huyu Ng'ombe anaenda jela sababu ya huyu mama Mzee. Akili Hakuna hapo
 
Wee jamaa kila siku tunakwambia acha Mmea wa Wakaldayo still husikii ona sasa,
Umepiga kitu kila Manzi unaona ni mrembo wa Taifa!

Anyway Marehemu hasemwi vibaya ila huyo mjukuu wa Mwanamalundi kazingua sana kuua penina wa wenyewe!
 
Back
Top Bottom