Mczigga
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 735
- 1,285
Mkuu nipe sasa hiyo koneksheni,, sisi uku porini hatuwezi kuwa na koneksheni na watu wa daslamu 😄😄Inaonekana hauishi na watu vizuri ndio maana hauna koneksheni..😜
Mkuu nipe sasa hiyo koneksheni,, sisi uku porini hatuwezi kuwa na koneksheni na watu wa daslamu 😄😄Inaonekana hauishi na watu vizuri ndio maana hauna koneksheni..😜
Kila siku Mzee wa kupambania anatoa somo humu la kutompa pesa asiye mke wako nyie mnaona ubahil.Penina wa Goba limama nginjanginja komasava, alivyokula hela ya msukuma hadi akageuzwa bucher...😜
Watu wa kanda ya ziwa ukiwa na rangi tu umewamaliza si unaona msukuma wa watu alivokuwa amejaa kwa PennyMwanamke akiwa mweupe anakuwa pisi kali!!!!?
Aiseeee! Kazi kwelikweliWatu wa kanda ya ziwa ukiwa na rangi tu umewamaliza si unaona msukuma wa watu alivokuwa amejaa kwa Penny
Katika mboni za macho yangu, Hana uzuri huo wa kutingisha dar, sijui huko kwao serikali ya nyumba 10 ndio anaweza tingisha, ni pisi ya kawaida sana.
Kikao maudhurio yatakua FWanawake wenzangu tunakaa lini kikao kujadili huu msiba?
Pisi kali yenyewe ndo hii!! Aiseee
PichaMzuka wanajamvi.
Jana Tanzania imempoteza mrembo pisii kali Penina wa Goba the undisputed beauty.
Wanaume wengi tumepokea msiba huu kwa mshtuko sana. Kwa upande wangu leo nimeamua kupumzika nakuchukua likizo ya siku moja kumuomboleza dem huyu mkali mjasiramali japo simjui wala hanijui.
Kifo hakijalitendea haki kabisa taifa letu. Ni pengo kubwa lisilozibika kamwe.
Ikumbukwe furaha ya mwanamme ni mwanamke. Demu mzuri analeta amani kwenye jamii, analeta furaha, analeta matumaini, anatupa kujiamini, they are empowering us tuzidi kujituma kutafuta hela kwa bidii ili tuwafurahishe wafurahi na wanapofurahi na sisi tunafurahi pia na jamii kwa ujumla.
Mkuu maishapopote tunaomba kujua utaratibu wa msiba na mazishi na njia ya kutuma michango ili tuomboleze na wapendwa.
Popote ulipo chukua dakika moja kusimama wima na kukaa kimya kumuomboleza huyu mrembo.
She's gone forever now every breath is a struggle.
🙀🙀,No alien 👽👽👽Mwanamke akiwa mweupe anakuwa pisi kali!!!!?