Mkuu wewe ni sehemu ya familia?Mkuu that's murder case hakuna cha 30 hapo. Hapo ni kunyongwa tu hadi kufa akipata mwanasheria mzuri kama Kibatala wa strike a deal with the prosecutor atasamehewa nakufungwa maisha without parole.
Unatongoza madem wa watu wakati wayahudi wenzako wanashambuliwa na hamas na hezbollah,mbona huna huruma?Hahaha Nifah licha ya kukupenda kupita maelezo umenifanya nicheke balaa.
You have a sense of humor in you!
😅🤣
UlimbukeniBado namshangaa sana huyo mshamba aliyemuua huyo mwanamke, mbona madukani kuna replacement nyingi tu za hiyo spare?
Tulishakubaliana hapa kuwa single mama hapendwi, hivi huwa hamuelewi?Hajawahi kupenda wewee ndo maana
Aache CCM uyu ajinyonge
Kupenda ndio kukoje? Kwa nyie mliowahi kupendaHujawahi kupenda wewee ndo maana
Hana uzuri huo ni wa kawaida saana.
Mimi napendekeza kikao tukae baada ya arobaini, kwa Sasa tufocus na matanga kwanza......hi huzuni.Wanawake wenzangu tunakaa lini kikao kujadili huu msiba?
Unataka na mimi nikatwe mapanga kama Penina? Ila yule ni atanifyatua tu na risasi, mapanga sio issue zake.Hahaha Nifah licha ya kukupenda kupita maelezo umenifanya nicheke balaa.
You have a sense of humor in you!
😅🤣
Kuna mengi ya kuongea kwakweli, kucharangwa kama kuni kumenitisha!Mimi napendekeza kikao tukae baada ya arobaini, kwa Sasa tufocus na matanga kwanza......hi huzuni.
Ngoja nikuulizie best angu Ni maeneo yake hayo ntarud hapa kuwapa mrejeshoMzuka wanajamvi.
Jana Tanzania imempoteza mrembo pisii kali Penina wa Goba the undisputed beauty.
Wanaume wengi tumepokea msiba huu kwa mshtuko sana. Kwa upande wangu leo nimeamua kupumzika nakuchukua likizo ya siku moja kumuomboleza dem huyu mkali mjasiramali japo simjui wala hanijui.
Kifo hakijalitendea haki kabisa taifa letu. Ni pengo kubwa lisilozibika kamwe.
Ikumbukwe furaha ya mwanamme ni mwanamke. Demu mzuri analeta amani kwenye jamii, analeta furaha, analeta matumaini, anatupa kujiamini, they are empowering us tuzidi kujituma kutafuta hela kwa bidii ili tuwafurahishe wafurahi na wanapofurahi na sisi tunafurahi pia na jamii kwa ujumla.
Mkuu maishapopote tunaomba kujua utaratibu wa msiba na mazishi na njia ya kutuma michango ili tuomboleze na wapendwa.
Popote ulipo chukua dakika moja kusimama wima na kukaa kimya kumuomboleza huyu mrembo.
She's gone forever now every breath is a struggle.
Kwa kweli inatisha......mimi naogopa balaa.Kuna mengi ya kuongea kwakweli, kucharangwa kama kuni kumenitisha!
Weka picha ya demu wako tumuoneLile dubwana ni pisi? Kama kwako ni pisi una safari ndefu sana.