Jana taifa limepoteza nafsi ya thamani sana

Jana taifa limepoteza nafsi ya thamani sana

Nchi hii kila mtu mrembo kila mtu billionea, Kama huyu kweli kwenye picha ndiye anaitwa mrembo basi kama Taifa tuna safari ndefu sana....
Huyo alikuwa mrembo kwa aliyemuua.
Sio lazima unachokifurahia wewe kifurahishe watu wote.

Hata utakayemuona mrembo kwako, kwa wengine anaweza kuwa kinyaa.
 
Hawa madem wa dizain hii hawajufunz kabisa aisee umenikumbusha yule dem wa mwanza wa risasi saba Mwanaume anapokupa chake ujue sio fala ni upendo jamani
 
Back
Top Bottom