Jana nimekula kitimoto bila kujua!

Jana nimekula kitimoto bila kujua!

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,027
Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
 
Wenzio wanakula hyo nyama kama hawana akil nzur,tena ma ostaz orijino...we unasema kichechef,jamaa mnafk kinoma
Mkuu mi siko km unavyonifikiria sijisikii kula kabisa sina mud
 
Kitimoto ya Bar hata ingepikwa saa 9 usiku inajitambulisha huwezi tofautisha mbuzi na kitimoto kweliii????..
Sina kawaida ya kwenda bar ni ukumbi tu ulikodiwa hapo
Nilishindwa kutotautisha cz xijawh kuila
 
Lakini kabla hujaigundua Mkuu uliiona tamu? Pole sana.

Nilikaribishwa na rafiki yangu kwenye sherehe ya miaka10 ya ndoa.
Mwandazi hakujua km situmii na mwenyeji wangu alitoka
Kwa vile ilkuwa usiku nikala.
NB.Najihisi kichefuchefu kula haram.
 
Je ulipata jibu la mshangao wako? Maana hapo kwenye ULAINI ndipo penye ulimbo wa hiyo nyama. Nina hakika asilimia 65 utaenda kwa Mama Kamche kutafuta huo ulaini kwa mara nyingine. Pole sana mkuu.
Never
 
Back
Top Bottom