Kalipe faini hizo acha pang’ang’a. Ulitakiwa kujua kuwa bima yako imeisha na by the way ungekua mwenye nia ya kulipa ungeweza kulipia popote ulipo bima haikuhitaji mpk uwepo physically ndio u renew bima yako. Hivo ulicho kipata ni stahiki yakoNingependa nianze kwa kuuliza Watanzania wenzangu kabla sijaanza kutoa lawama kumbe mimi ndio mkosaji
Ivi mfano umepata dharula ilio kufanya usafir nje ya mkoa na wakat upo nje ya mkoa ulio kuepo Bima ya gar ikaisha mfano imeisha Leo na wewe kesho unasafar ya kurud mkoa ulio kua ukaamua kupanga kwamba Bima ya gar lako utabadilisha ukifika dar ni kosa!?
Je kama Bima yako imeisha siku za wikend siku ambayo hamna ofisi inafungua ofisi zao ukikamatwa kwa kosa la Bima lazima uandikiwe?, hata kama ni wikend na je kosa la Bima unaweza kuandikiwa hata Mara tano kwa siku????
Jana nimeandikiwa Mara 5 kosa la Bima na kila traffic alie niandikia akikataa kunipa risit akidai kua mashine ni mbovu na kua Ana niandikia pemben na baadae ataniandika hii ni haki?? Ivi elf 30 Mara 5 mimi naitoa wap?
Kituo cha mwisho Jana kuandikiwa fain ilikua pale mataa ya kinondon airtell alikuja trafk akalizunguka gar kabla hata hajanikagua akasema Bima yako imeisha ni kashangaa kajua vip ila sikutaka ku judge Sana sababu nilijua huu ndio mwezi wa wa mwisho wa Bima
Nikamwambia ndio kiongoz Bima yangu imeisha ila nimesha andikiwa Mara Tatu kwa kosa ili ili akajibu umeandikiwa Lin Nikamwambia nimeandikiwa Jana saa nne na Leo Alfajiri kwenye beria ya Mlandizi na Mbezi pia akasema haiwezekan tunakuandikia Nikamwambia kwa kosa ili ili moja la Bima niandikiwe Mara nne?, akasema ndio kosa ni kosa Nikamwambia kaka safar yangu mimi sikutoka kutafuta nimetoka kwenye matatizo nyumban ivyo fain itakua kubwa sito weza kulipa akasema nimpe lesen na kad ya gar ili aandike Nikamwambia kwaio boss unaniandikia akasema ndio
Basi pemben kulikua na trafk mwingine mwanamke mmama mtu alikua na nyota kama Tatu ivi nikahisi atakua boss wake ngoja nipeleke gar pale pemben nikamuombe Kwan fain sito weza kuilipa nikageuza gar ilikua kwenye taa nikaenda pale wanapo kuaga Wana kaa nimefika pale nikashuka yule mama kumbe mchezo wote anamuona Ile namsogelea tu akasema kwa saut ishia uko uko wewe, MBWA
Ukwel iliniuma mpaka nikahisi kutetemeka moyo wangu ulijawa na Hasira na uchungu nilijiona sijui vip alafu yule trafk mwingine pemben akawa ananicheka cheko la ulizan utabadilisha kitu kusema kwel kwa hasira nilisema nyie trafk mnaroho za kichaw Mnawezaje kunifanyia ivi basi likawa kosa lingine yule mama akasema Muandikie fain mbil ili aamini kua sis wachaw kwel
Jana ilibaki kidogo tu nimpige yule trafk mwanaume Kwan alizid kunipandisha hasira alipo kua anaandika uku akicheka na kuniambia tamfanya Nini kusema kwel chakumfanya nilikua Sina Zaid ya kutaka kumbomoa kichwa Lakin mpaka Sasa nashukuru mungu kwa utulivu alio nijalia Jana Kwan huenda saiz ningekua nimepewa kesi kubwa Zaid ya zile nilizo kua nazo
Jana nimekaa moyo unauma siku nzima nikiwaza neno Mbwa nimeitwa kwa sababu gani
Je kwa matatizo nilio Pata Jana ni wap naweza kusaidiwa juu ya hiz fain?
Kamanda siro hii ni haki?
Jana nilihisi mambo mawil baada ya kila trafk kuto nipa risit
Moja huenda ni maagizo kutoka juu kwanini trafk wote wasitoe risit?
Au ni formula yao polis wanajua kua Bima zinaisha na wanalitumia ilo kosa kujipatia pesa na kama utakua mgum kuwapa rushwa ndio Wana kuandikia ndiomana wote hawatoi risit? Za police
Na vip haki yangu kama Raia endapo trafk ataniandika kosa bila kunipa risit???
Pia siandiki huu uzi kisa naichukia serikal wala sababu sio hii hii inshu ni kwel imenikuta sababu toka nimekua na umri wa miaka 10 nimekua kada na mpambanaji wa chama pia hata account zangu za umu jamiforums mzalendo1q abdulhamis na team Magufuli zote izo nimezitumia kutetea serikal kwa nguvu zote hamna hata siku moja nimekaa bila kutumia nguvu zangu kuitetea serikal nilio amin ni ya wanyonge
Na kwa sababu ya hil najiapiza mwenyewe sito Kuja kutoa msaada wowote kwa police watakao uhitaji iwe Leo au hata baada ya miaka 100 ichi kitakua kama kisas kwangu na igp siro Mara nyingi Hua una tuhimiza tushirikiane na jesh la police ila police wenyewe kama ndio Hawa Wanao tubebesha mizigo ya Misumar
Nawachukia police hasa tafk walio kua Leo jtatu tar 21 December mataa ya kinondon Moroko asubui mungu atawalani mimi gar tapak mpaka nipate io hela yao ya dhulma
Na nasema sito wasamehe mpaka nakufa mungu atawalani
Asanteni
Serikal hii isipo kua Makin na watu kama Hawa bas tu ijue kua inaenda kupoteza wale watanzania waoga na wapole na kuzalisha watanzania wenye hasira kali na taifa lao kwa Wing
Mungu ibariki tz
Hii ni moja ya page yangu View attachment 1656284
Nakushauri wapeleke kwa mkuu wao wa kituo. Majina na namba zao zipo katika hizo tiketi. Nenda kazitoe copy kabisa.Ningependa nianze kwa kuuliza Watanzania wenzangu kabla sijaanza kutoa lawama kumbe mimi ndio mkosaji
Ivi mfano umepata dharula ilio kufanya usafir nje ya mkoa na wakat upo nje ya mkoa ulio kuepo Bima ya gar ikaisha mfano imeisha Leo na wewe kesho unasafar ya kurud mkoa ulio kua ukaamua kupanga kwamba Bima ya gar lako utabadilisha ukifika dar ni kosa!?
Je kama Bima yako imeisha siku za wikend siku ambayo hamna ofisi inafungua ofisi zao ukikamatwa kwa kosa la Bima lazima uandikiwe?, hata kama ni wikend na je kosa la Bima unaweza kuandikiwa hata Mara tano kwa siku????
Jana nimeandikiwa Mara 5 kosa la Bima na kila traffic alie niandikia akikataa kunipa risit akidai kua mashine ni mbovu na kua Ana niandikia pemben na baadae ataniandika hii ni haki?? Ivi elf 30 Mara 5 mimi naitoa wap?
Kituo cha mwisho Jana kuandikiwa fain ilikua pale mataa ya kinondon airtell alikuja trafk akalizunguka gar kabla hata hajanikagua akasema Bima yako imeisha ni kashangaa kajua vip ila sikutaka ku judge Sana sababu nilijua huu ndio mwezi wa wa mwisho wa Bima
Nikamwambia ndio kiongoz Bima yangu imeisha ila nimesha andikiwa Mara Tatu kwa kosa ili ili akajibu umeandikiwa Lin Nikamwambia nimeandikiwa Jana saa nne na Leo Alfajiri kwenye beria ya Mlandizi na Mbezi pia akasema haiwezekan tunakuandikia Nikamwambia kwa kosa ili ili moja la Bima niandikiwe Mara nne?, akasema ndio kosa ni kosa Nikamwambia kaka safar yangu mimi sikutoka kutafuta nimetoka kwenye matatizo nyumban ivyo fain itakua kubwa sito weza kulipa akasema nimpe lesen na kad ya gar ili aandike Nikamwambia kwaio boss unaniandikia akasema ndio
Basi pemben kulikua na trafk mwingine mwanamke mmama mtu alikua na nyota kama Tatu ivi nikahisi atakua boss wake ngoja nipeleke gar pale pemben nikamuombe Kwan fain sito weza kuilipa nikageuza gar ilikua kwenye taa nikaenda pale wanapo kuaga Wana kaa nimefika pale nikashuka yule mama kumbe mchezo wote anamuona Ile namsogelea tu akasema kwa saut ishia uko uko wewe, MBWA
Ukwel iliniuma mpaka nikahisi kutetemeka moyo wangu ulijawa na Hasira na uchungu nilijiona sijui vip alafu yule trafk mwingine pemben akawa ananicheka cheko la ulizan utabadilisha kitu kusema kwel kwa hasira nilisema nyie trafk mnaroho za kichaw Mnawezaje kunifanyia ivi basi likawa kosa lingine yule mama akasema Muandikie fain mbil ili aamini kua sis wachaw kwel
Jana ilibaki kidogo tu nimpige yule trafk mwanaume Kwan alizid kunipandisha hasira alipo kua anaandika uku akicheka na kuniambia tamfanya Nini kusema kwel chakumfanya nilikua Sina Zaid ya kutaka kumbomoa kichwa Lakin mpaka Sasa nashukuru mungu kwa utulivu alio nijalia Jana Kwan huenda saiz ningekua nimepewa kesi kubwa Zaid ya zile nilizo kua nazo
Jana nimekaa moyo unauma siku nzima nikiwaza neno Mbwa nimeitwa kwa sababu gani
Je kwa matatizo nilio Pata Jana ni wap naweza kusaidiwa juu ya hiz fain?
Kamanda siro hii ni haki?
Jana nilihisi mambo mawil baada ya kila trafk kuto nipa risit
Moja huenda ni maagizo kutoka juu kwanini trafk wote wasitoe risit?
Au ni formula yao polis wanajua kua Bima zinaisha na wanalitumia ilo kosa kujipatia pesa na kama utakua mgum kuwapa rushwa ndio Wana kuandikia ndiomana wote hawatoi risit? Za police
Na vip haki yangu kama Raia endapo trafk ataniandika kosa bila kunipa risit???
Pia siandiki huu uzi kisa naichukia serikal wala sababu sio hii hii inshu ni kwel imenikuta sababu toka nimekua na umri wa miaka 10 nimekua kada na mpambanaji wa chama pia hata account zangu za umu jamiforums mzalendo1q abdulhamis na team Magufuli zote izo nimezitumia kutetea serikal kwa nguvu zote hamna hata siku moja nimekaa bila kutumia nguvu zangu kuitetea serikal nilio amin ni ya wanyonge
Na kwa sababu ya hil najiapiza mwenyewe sito Kuja kutoa msaada wowote kwa police watakao uhitaji iwe Leo au hata baada ya miaka 100 ichi kitakua kama kisas kwangu na igp siro Mara nyingi Hua una tuhimiza tushirikiane na jesh la police ila police wenyewe kama ndio Hawa Wanao tubebesha mizigo ya Misumar
Nawachukia police hasa tafk walio kua Leo jtatu tar 21 December mataa ya kinondon Moroko asubui mungu atawalani mimi gar tapak mpaka nipate io hela yao ya dhulma
Na nasema sito wasamehe mpaka nakufa mungu atawalani
Asanteni
Serikal hii isipo kua Makin na watu kama Hawa bas tu ijue kua inaenda kupoteza wale watanzania waoga na wapole na kuzalisha watanzania wenye hasira kali na taifa lao kwa Wing
Mungu ibariki tz
Hii ni moja ya page yangu View attachment 1656284
Wewe ni mzembe, hata siku moja hakuna excuse eti nilikuwa na matatizo ndio maana sijakata bima. Hakuna kitu kama hicho.Ningependa nianze kwa kuuliza Watanzania wenzangu kabla sijaanza kutoa lawama kumbe mimi ndio mkosaji
Ivi mfano umepata dharula ilio kufanya usafir nje ya mkoa na wakat upo nje ya mkoa ulio kuepo Bima ya gar ikaisha mfano imeisha Leo na wewe kesho unasafar ya kurud mkoa ulio kua ukaamua kupanga kwamba Bima ya gar lako utabadilisha ukifika dar ni kosa!?
Je kama Bima yako imeisha siku za wikend siku ambayo hamna ofisi inafungua ofisi zao ukikamatwa kwa kosa la Bima lazima uandikiwe?, hata kama ni wikend na je kosa la Bima unaweza kuandikiwa hata Mara tano kwa siku????
Jana nimeandikiwa Mara 5 kosa la Bima na kila traffic alie niandikia akikataa kunipa risit akidai kua mashine ni mbovu na kua Ana niandikia pemben na baadae ataniandika hii ni haki?? Ivi elf 30 Mara 5 mimi naitoa wap?
Kituo cha mwisho Jana kuandikiwa fain ilikua pale mataa ya kinondon airtell alikuja trafk akalizunguka gar kabla hata hajanikagua akasema Bima yako imeisha ni kashangaa kajua vip ila sikutaka ku judge Sana sababu nilijua huu ndio mwezi wa wa mwisho wa Bima
Nikamwambia ndio kiongoz Bima yangu imeisha ila nimesha andikiwa Mara Tatu kwa kosa ili ili akajibu umeandikiwa Lin Nikamwambia nimeandikiwa Jana saa nne na Leo Alfajiri kwenye beria ya Mlandizi na Mbezi pia akasema haiwezekan tunakuandikia Nikamwambia kwa kosa ili ili moja la Bima niandikiwe Mara nne?, akasema ndio kosa ni kosa Nikamwambia kaka safar yangu mimi sikutoka kutafuta nimetoka kwenye matatizo nyumban ivyo fain itakua kubwa sito weza kulipa akasema nimpe lesen na kad ya gar ili aandike Nikamwambia kwaio boss unaniandikia akasema ndio
Basi pemben kulikua na trafk mwingine mwanamke mmama mtu alikua na nyota kama Tatu ivi nikahisi atakua boss wake ngoja nipeleke gar pale pemben nikamuombe Kwan fain sito weza kuilipa nikageuza gar ilikua kwenye taa nikaenda pale wanapo kuaga Wana kaa nimefika pale nikashuka yule mama kumbe mchezo wote anamuona Ile namsogelea tu akasema kwa saut ishia uko uko wewe, MBWA
Ukwel iliniuma mpaka nikahisi kutetemeka moyo wangu ulijawa na Hasira na uchungu nilijiona sijui vip alafu yule trafk mwingine pemben akawa ananicheka cheko la ulizan utabadilisha kitu kusema kwel kwa hasira nilisema nyie trafk mnaroho za kichaw Mnawezaje kunifanyia ivi basi likawa kosa lingine yule mama akasema Muandikie fain mbil ili aamini kua sis wachaw kwel
Jana ilibaki kidogo tu nimpige yule trafk mwanaume Kwan alizid kunipandisha hasira alipo kua anaandika uku akicheka na kuniambia tamfanya Nini kusema kwel chakumfanya nilikua Sina Zaid ya kutaka kumbomoa kichwa Lakin mpaka Sasa nashukuru mungu kwa utulivu alio nijalia Jana Kwan huenda saiz ningekua nimepewa kesi kubwa Zaid ya zile nilizo kua nazo
Jana nimekaa moyo unauma siku nzima nikiwaza neno Mbwa nimeitwa kwa sababu gani
Je kwa matatizo nilio Pata Jana ni wap naweza kusaidiwa juu ya hiz fain?
Kamanda siro hii ni haki?
Jana nilihisi mambo mawil baada ya kila trafk kuto nipa risit
Moja huenda ni maagizo kutoka juu kwanini trafk wote wasitoe risit?
Au ni formula yao polis wanajua kua Bima zinaisha na wanalitumia ilo kosa kujipatia pesa na kama utakua mgum kuwapa rushwa ndio Wana kuandikia ndiomana wote hawatoi risit? Za police
Na vip haki yangu kama Raia endapo trafk ataniandika kosa bila kunipa risit???
Pia siandiki huu uzi kisa naichukia serikal wala sababu sio hii hii inshu ni kwel imenikuta sababu toka nimekua na umri wa miaka 10 nimekua kada na mpambanaji wa chama pia hata account zangu za umu jamiforums mzalendo1q abdulhamis na team Magufuli zote izo nimezitumia kutetea serikal kwa nguvu zote hamna hata siku moja nimekaa bila kutumia nguvu zangu kuitetea serikal nilio amin ni ya wanyonge
Na kwa sababu ya hil najiapiza mwenyewe sito Kuja kutoa msaada wowote kwa police watakao uhitaji iwe Leo au hata baada ya miaka 100 ichi kitakua kama kisas kwangu na igp siro Mara nyingi Hua una tuhimiza tushirikiane na jesh la police ila police wenyewe kama ndio Hawa Wanao tubebesha mizigo ya Misumar
Nawachukia police hasa tafk walio kua Leo jtatu tar 21 December mataa ya kinondon Moroko asubui mungu atawalani mimi gar tapak mpaka nipate io hela yao ya dhulma
Na nasema sito wasamehe mpaka nakufa mungu atawalani
Asanteni
Serikal hii isipo kua Makin na watu kama Hawa bas tu ijue kua inaenda kupoteza wale watanzania waoga na wapole na kuzalisha watanzania wenye hasira kali na taifa lao kwa Wing
Mungu ibariki tz
Hii ni moja ya page yangu View attachment 1656284
Aisee haya mkuu.....leo nimejifunza Bima ina 7 days grace period! Amazing
Pole sana mkuu. Hii si sawa, hawa jamaa kuna wakati wanajiona miungu watu. Waje wajaribu kwangu siku moja, maji wataita mma.Ningependa nianze kwa kuuliza Watanzania wenzangu kabla sijaanza kutoa lawama kumbe mimi ndio mkosaji
Ivi mfano umepata dharula ilio kufanya usafir nje ya mkoa na wakat upo nje ya mkoa ulio kuepo Bima ya gar ikaisha mfano imeisha Leo na wewe kesho unasafar ya kurud mkoa ulio kua ukaamua kupanga kwamba Bima ya gar lako utabadilisha ukifika dar ni kosa!?
Je kama Bima yako imeisha siku za wikend siku ambayo hamna ofisi inafungua ofisi zao ukikamatwa kwa kosa la Bima lazima uandikiwe?, hata kama ni wikend na je kosa la Bima unaweza kuandikiwa hata Mara tano kwa siku????
Jana nimeandikiwa Mara 5 kosa la Bima na kila traffic alie niandikia akikataa kunipa risit akidai kua mashine ni mbovu na kua Ana niandikia pemben na baadae ataniandika hii ni haki?? Ivi elf 30 Mara 5 mimi naitoa wap?
Kituo cha mwisho Jana kuandikiwa fain ilikua pale mataa ya kinondon airtell alikuja trafk akalizunguka gar kabla hata hajanikagua akasema Bima yako imeisha ni kashangaa kajua vip ila sikutaka ku judge Sana sababu nilijua huu ndio mwezi wa wa mwisho wa Bima
Nikamwambia ndio kiongoz Bima yangu imeisha ila nimesha andikiwa Mara Tatu kwa kosa ili ili akajibu umeandikiwa Lin Nikamwambia nimeandikiwa Jana saa nne na Leo Alfajiri kwenye beria ya Mlandizi na Mbezi pia akasema haiwezekan tunakuandikia Nikamwambia kwa kosa ili ili moja la Bima niandikiwe Mara nne?, akasema ndio kosa ni kosa Nikamwambia kaka safar yangu mimi sikutoka kutafuta nimetoka kwenye matatizo nyumban ivyo fain itakua kubwa sito weza kulipa akasema nimpe lesen na kad ya gar ili aandike Nikamwambia kwaio boss unaniandikia akasema ndio
Basi pemben kulikua na trafk mwingine mwanamke mmama mtu alikua na nyota kama Tatu ivi nikahisi atakua boss wake ngoja nipeleke gar pale pemben nikamuombe Kwan fain sito weza kuilipa nikageuza gar ilikua kwenye taa nikaenda pale wanapo kuaga Wana kaa nimefika pale nikashuka yule mama kumbe mchezo wote anamuona Ile namsogelea tu akasema kwa saut ishia uko uko wewe, MBWA
Ukwel iliniuma mpaka nikahisi kutetemeka moyo wangu ulijawa na Hasira na uchungu nilijiona sijui vip alafu yule trafk mwingine pemben akawa ananicheka cheko la ulizan utabadilisha kitu kusema kwel kwa hasira nilisema nyie trafk mnaroho za kichaw Mnawezaje kunifanyia ivi basi likawa kosa lingine yule mama akasema Muandikie fain mbil ili aamini kua sis wachaw kwel
Jana ilibaki kidogo tu nimpige yule trafk mwanaume Kwan alizid kunipandisha hasira alipo kua anaandika uku akicheka na kuniambia tamfanya Nini kusema kwel chakumfanya nilikua Sina Zaid ya kutaka kumbomoa kichwa Lakin mpaka Sasa nashukuru mungu kwa utulivu alio nijalia Jana Kwan huenda saiz ningekua nimepewa kesi kubwa Zaid ya zile nilizo kua nazo
Jana nimekaa moyo unauma siku nzima nikiwaza neno Mbwa nimeitwa kwa sababu gani
Je kwa matatizo nilio Pata Jana ni wap naweza kusaidiwa juu ya hiz fain?
Kamanda siro hii ni haki?
Jana nilihisi mambo mawil baada ya kila trafk kuto nipa risit
Moja huenda ni maagizo kutoka juu kwanini trafk wote wasitoe risit?
Au ni formula yao polis wanajua kua Bima zinaisha na wanalitumia ilo kosa kujipatia pesa na kama utakua mgum kuwapa rushwa ndio Wana kuandikia ndiomana wote hawatoi risit? Za police
Na vip haki yangu kama Raia endapo trafk ataniandika kosa bila kunipa risit???
Pia siandiki huu uzi kisa naichukia serikal wala sababu sio hii hii inshu ni kwel imenikuta sababu toka nimekua na umri wa miaka 10 nimekua kada na mpambanaji wa chama pia hata account zangu za umu jamiforums mzalendo1q abdulhamis na team Magufuli zote izo nimezitumia kutetea serikal kwa nguvu zote hamna hata siku moja nimekaa bila kutumia nguvu zangu kuitetea serikal nilio amin ni ya wanyonge
Na kwa sababu ya hil najiapiza mwenyewe sito Kuja kutoa msaada wowote kwa police watakao uhitaji iwe Leo au hata baada ya miaka 100 ichi kitakua kama kisas kwangu na igp siro Mara nyingi Hua una tuhimiza tushirikiane na jesh la police ila police wenyewe kama ndio Hawa Wanao tubebesha mizigo ya Misumar
Nawachukia police hasa tafk walio kua Leo jtatu tar 21 December mataa ya kinondon Moroko asubui mungu atawalani mimi gar tapak mpaka nipate io hela yao ya dhulma
Na nasema sito wasamehe mpaka nakufa mungu atawalani
Asanteni
Serikal hii isipo kua Makin na watu kama Hawa bas tu ijue kua inaenda kupoteza wale watanzania waoga na wapole na kuzalisha watanzania wenye hasira kali na taifa lao kwa Wing
Mungu ibariki tz
Hii ni moja ya page yangu View attachment 1656284
Hadi ikasimamishwa na matrafiki WATANO ndani ya 24hrs..Samahan mkuu, gari yako ni aina gan?
unajua kazi zingne hizi bwana ,,mzee wangu ananiambiaga kuna kazi ukiafanya hata ww unakuwa ni tatizo ,kwahiyo ni kuwaangalia tu basi inatoshaMkuu bima haiishi ghafla. Fine ulitakiwa ulipe mara moja tu, walikuonea.
hasa hao wanaovaa nguo za kaki ndo wanyama kabisa yaani mmhh wanakuwa na kiburi hujui kimetoka wapi kiufupi ile fani imevamiwaPole sana mkuu. Hii si sawa, hawa jamaa kuna wakati wanajiona miungu watu. Waje wajaribu kwangu siku moja, maji wataita mma.
Kwa hiyo anaweza kukata rufaa, wapi?Kwanza kosa la kutokua na bima, unapaswa kupewa adhabu kuanzia siku ya saba tokea tarehe ambayo bima yako ilikwisha.
Na ikiwa ulilipa faini kwa kosa la kutokua na bima, basi nilazima upewe stakabadhi inyo onyesha umelipa faini na pia kosa lazima liahinishwe kwenye stakabadhi hiyo. Baada ya hapo, stakabadhi hiyo itatumika kama adhabu ya kosa lako kwa muda wa siku tatu ndipo adhabu hiyo itakoma.
Na kwakuongeza tu, swala la kukutwa na kosa la kutokua na bima kwa siku moja ama mbili.... Maranyingo inahitaji tu traffic police kukupa onyo kwa mdomo.
Sasa wewe ndugu yangu gari haina bima unaitembeza mchana bila uoga tena ukiwa highway safarini? Ulihisi mapai ni baba zako wadogo na mashangazi au?
Ningependa nianze kwa kuuliza Watanzania wenzangu kabla sijaanza kutoa lawama kumbe mimi ndio mkosaji
Ivi mfano umepata dharula ilio kufanya usafir nje ya mkoa na wakat upo nje ya mkoa ulio kuepo Bima ya gar ikaisha mfano imeisha Leo na wewe kesho unasafar ya kurud mkoa ulio kua ukaamua kupanga kwamba Bima ya gar lako utabadilisha ukifika dar ni kosa!?
Je kama Bima yako imeisha siku za wikend siku ambayo hamna ofisi inafungua ofisi zao ukikamatwa kwa kosa la Bima lazima uandikiwe?, hata kama ni wikend na je kosa la Bima unaweza kuandikiwa hata Mara tano kwa siku????
Jana nimeandikiwa Mara 5 kosa la Bima na kila traffic alie niandikia akikataa kunipa risit akidai kua mashine ni mbovu na kua Ana niandikia pemben na baadae ataniandika hii ni haki?? Ivi elf 30 Mara 5 mimi naitoa wap?
Kituo cha mwisho Jana kuandikiwa fain ilikua pale mataa ya kinondon airtell alikuja trafk akalizunguka gar kabla hata hajanikagua akasema Bima yako imeisha ni kashangaa kajua vip ila sikutaka ku judge Sana sababu nilijua huu ndio mwezi wa wa mwisho wa Bima
Nikamwambia ndio kiongoz Bima yangu imeisha ila nimesha andikiwa Mara Tatu kwa kosa ili ili akajibu umeandikiwa Lin Nikamwambia nimeandikiwa Jana saa nne na Leo Alfajiri kwenye beria ya Mlandizi na Mbezi pia akasema haiwezekan tunakuandikia Nikamwambia kwa kosa ili ili moja la Bima niandikiwe Mara nne?, akasema ndio kosa ni kosa Nikamwambia kaka safar yangu mimi sikutoka kutafuta nimetoka kwenye matatizo nyumban ivyo fain itakua kubwa sito weza kulipa akasema nimpe lesen na kad ya gar ili aandike Nikamwambia kwaio boss unaniandikia akasema ndio
Basi pemben kulikua na trafk mwingine mwanamke mmama mtu alikua na nyota kama Tatu ivi nikahisi atakua boss wake ngoja nipeleke gar pale pemben nikamuombe Kwan fain sito weza kuilipa nikageuza gar ilikua kwenye taa nikaenda pale wanapo kuaga Wana kaa nimefika pale nikashuka yule mama kumbe mchezo wote anamuona Ile namsogelea tu akasema kwa saut ishia uko uko wewe, MBWA
Ukwel iliniuma mpaka nikahisi kutetemeka moyo wangu ulijawa na Hasira na uchungu nilijiona sijui vip alafu yule trafk mwingine pemben akawa ananicheka cheko la ulizan utabadilisha kitu kusema kwel kwa hasira nilisema nyie trafk mnaroho za kichaw Mnawezaje kunifanyia ivi basi likawa kosa lingine yule mama akasema Muandikie fain mbil ili aamini kua sis wachaw kwel
Jana ilibaki kidogo tu nimpige yule trafk mwanaume Kwan alizid kunipandisha hasira alipo kua anaandika uku akicheka na kuniambia tamfanya Nini kusema kwel chakumfanya nilikua Sina Zaid ya kutaka kumbomoa kichwa Lakin mpaka Sasa nashukuru mungu kwa utulivu alio nijalia Jana Kwan huenda saiz ningekua nimepewa kesi kubwa Zaid ya zile nilizo kua nazo
Jana nimekaa moyo unauma siku nzima nikiwaza neno Mbwa nimeitwa kwa sababu gani
Je kwa matatizo nilio Pata Jana ni wap naweza kusaidiwa juu ya hiz fain?
Kamanda siro hii ni haki?
Jana nilihisi mambo mawil baada ya kila trafk kuto nipa risit
Moja huenda ni maagizo kutoka juu kwanini trafk wote wasitoe risit?
Au ni formula yao polis wanajua kua Bima zinaisha na wanalitumia ilo kosa kujipatia pesa na kama utakua mgum kuwapa rushwa ndio Wana kuandikia ndiomana wote hawatoi risit? Za police
Na vip haki yangu kama Raia endapo trafk ataniandika kosa bila kunipa risit???
Pia siandiki huu uzi kisa naichukia serikal wala sababu sio hii hii inshu ni kwel imenikuta sababu toka nimekua na umri wa miaka 10 nimekua kada na mpambanaji wa chama pia hata account zangu za umu jamiforums mzalendo1q abdulhamis na team Magufuli zote izo nimezitumia kutetea serikal kwa nguvu zote hamna hata siku moja nimekaa bila kutumia nguvu zangu kuitetea serikal nilio amin ni ya wanyonge
Na kwa sababu ya hil najiapiza mwenyewe sito Kuja kutoa msaada wowote kwa police watakao uhitaji iwe Leo au hata baada ya miaka 100 ichi kitakua kama kisas kwangu na igp siro Mara nyingi Hua una tuhimiza tushirikiane na jesh la police ila police wenyewe kama ndio Hawa Wanao tubebesha mizigo ya Misumar
Nawachukia police hasa tafk walio kua Leo jtatu tar 21 December mataa ya kinondon Moroko asubui mungu atawalani mimi gar tapak mpaka nipate io hela yao ya dhulma
Na nasema sito wasamehe mpaka nakufa mungu atawalani
Asanteni
Serikal hii isipo kua Makin na watu kama Hawa bas tu ijue kua inaenda kupoteza wale watanzania waoga na wapole na kuzalisha watanzania wenye hasira kali na taifa lao kwa Wing
Mungu ibariki tz
Hii ni moja ya page yangu View attachment 1656284
Walikuonea,nenda kalalamike. Wataangalia length ya faini zilizoandikwa utalipa moja.Ndio sikatai kua ni kosa ila 5time in 24 hour