Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
Hawa wajinga ata wasipokupa risiti utadaiwa tu, ata akikufanyia visa kwa biffu hakuambii na unadaiwaMkuu na wewe una matatizo!
Binafsi siwezi kutoa hela bila risiti hata iweje!
Hawa wajinga ata wasipokupa risiti utadaiwa tu, ata akikufanyia visa kwa biffu hakuambii na unadaiwaMkuu na wewe una matatizo!
Binafsi siwezi kutoa hela bila risiti hata iweje!
Kutoa 30,000 ni Ujinga !Hutoi hela bila risit wakat ukisha andikiwa tu basi hata mimi nilihis naweza kua mbish ila ubish ulifanya nilipe Tena elf 30
Ukiingia kwenye 'majadiliano' usitoe leseniKuna jamaa yangu alishakiri kosa na kuomba samahani na ya kubrashia viatu juu,baada ya kama wiki 2 akapigwa na zile kamera zao,kuuliza kosa lake akatajiwa hadi eneo alilofanya hilo kosa,kumbe yule trafiki siku alimuandikia na akumuambia matokeo yake akalipa na elfu 40,elfu 30 faini elfub10 ya penalti kwa kuchelewa kulipa ile faini,trafiki wa bongo wana roho mbaya zaidi ya shetani
OkHapo una makosa makubwa sana tena sanaa haijalishi inabidi uangalie bima muda wote je ungegonga na kuuwa leo ungekuwa na hela za kulipa??
Pili next time hawa askari wana wakubwa zao ambao wapo ofisini ukiona siku nyingine unaitwa MBWA una haki ya kuomba number ya askari na jina lake then njoo humu ndani tutakusaidia nini cha kufanya....Askari hana mamlaka ya kukuita MBWA....
Hii ni I'd yangu ingineHata mimi sizifahamu hizo ID zingine zilizotajwa lakini kwa ID yake hiyo hiyo ukiangalia threads zake za nyuma, inatosha kufahamu ni muunga juhudi mwenzetu!!
Huwezi kuitwa mbwa bila sababuHapo una makosa makubwa sana tena sanaa haijalishi inabidi uangalie bima muda wote je ungegonga na kuuwa leo ungekuwa na hela za kulipa??
Pili next time hawa askari wana wakubwa zao ambao wapo ofisini ukiona siku nyingine unaitwa MBWA una haki ya kuomba number ya askari na jina lake then njoo humu ndani tutakusaidia nini cha kufanya....Askari hana mamlaka ya kukuita MBWA....
Moja tu ilinitosha kufahamu kwamba wewe ni Mwana-CCM mwenzangu tofauti ni kwamba wewe CCM Lia lia wakati mimi naongozwa na itikadi! Kwa bahati mzuri ukakumbana na wale wale ambao hauishi kuwatetea as if kuwa mfuasi wa chama fulani ni lazima uunge mkono kila kituHii ni I'd yangu ingine View attachment 1657364
Alishapata na kaishaifurahia show.