Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,471
- 222,789
- Thread starter
- #21
Unayo namna yako ya kutumia maneno kiufundi sana, lakini kwa mpangilio wa kipekee kabisa na kufikisha ujumbe.
Sijui ngazi yako ni ipi, lakini kama ungekuwa mwandishi (makala/vitabu/majarida), nadhani ungekuwa mwandishi mzuri sana.
Sasa sijui, kama hili umelisomea, au ni kipaji tu ulichojaaliwa na Mwenyezi Muumba wako.