JamiiForums yalamba tuzo mbili kwa kupigania haki za kidigitali Tanzania

Unayo namna yako ya kutumia maneno kiufundi sana, lakini kwa mpangilio wa kipekee kabisa na kufikisha ujumbe.

Sijui ngazi yako ni ipi, lakini kama ungekuwa mwandishi (makala/vitabu/majarida), nadhani ungekuwa mwandishi mzuri sana.

Sasa sijui, kama hili umelisomea, au ni kipaji tu ulichojaaliwa na Mwenyezi Muumba wako.
 
View attachment 2689503

View attachment 2689504Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni,
Wamasai walihamishwa mazima, bado wana Dar-es-Salaam na hakuna aliyewatetea.Tungepewa tuzo ya kunyamaza kimya tu!
tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji.
Kongole
JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital.

Mungu ibariki JF
Pamoja na yote hayo juu. Kongole kwa Wanahudhuri wa JF.
 
View attachment 2689503

View attachment 2689504Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni, tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji.

JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital.

Mungu ibariki JF
Yaani JF na haki za kidigitali wapi na wapi?

Like what the fvck?

Acheni vituko!

JF ni hovyo sana hata katika issue ya ku-ban wachangiaji huku!

Wakiona hoja imewauma na hawana majibu,unilaterally wana-ban mtu!

I despise them,they are lying,they aint shyttttt!
 
View attachment 2689503

View attachment 2689504Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni, tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji.

JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital.

Mungu ibariki JF
Mungu ibariki JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom