Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,415
- Thread starter
- #21
Tuanze na sisi wakuujambo zuri pia litaitangaza jf..
Nitapendelea hata wasanii/nyimbo za kitambo fulani hivi nazenyewe ziwe na kitengo chake ili kuwaenzi wasanii na nyimbo za kitambo,maana hivi sasa ni matunda yale yaliyopita so nayo pia yananafasi kubwa na inastahiri kuenziwa.
Tunafanya vipi hili suala?
Katika kumbukumbu za
waanzilishi
majina yenu yatakua mbele
kabisa
@Mods support yenu ikiwezekana tunashukuru
Good idea japo uteam unaweza kua ni changamoto kubwa sana!! Lakin pia kuna wale wenye mizaha isiyokua na msingi nao hawatakosa kujitokeza
Tatizo linakuja kwa wale wenye multiple IDs kupiga kura
sawaa naunga mkono
Ni nzuri sana hiyo zawadi.
Naweza pata fursa kwa mara ya kwanza kupigia kura kazi ya sanaa. Wazo zuri
Aseeeh...Good idea
Naunga mkono hoja
Ila ngeomba kama ingewezekana wale wasioshirik yan wasiopenda mzik wakapgwa ban
kutochangia huo uz
Maana wataletw story zao
Za wanaa? Na mwisho wa
Sku kuharbu uz
Shida n kuwatabua
Wazo zuri japo changamoto ni nyingi ila inawezekana tu...
Inabid upatikane mpango mzima na watu wakupushi.....
Ata hivyo kwa kuanz tunaeza generalize labda msanii bora wa kike/kiume, Nyimbora ya mwaka, Video bora ya Mwaka, producer bora ili vpengele viwe vichache na kazi iwe rais then mbele ya safari yatakua yamezaliwa mawazo mapya zaid....
Ata hivyo
Wanakuja mkuu
Kweli mkuu
Ni wazo zuri Benny.
Kwa hiyo hapatakuwa na zawadi wala tuzo yoyote? Ni kupiga kura tu na kuorodhesha majina?
Wazo zuri sana lkn tatizo litakuja kwny hizi timu maana wengine watakuwa wanapiga kura kukomoana