JamiiForums special track

JamiiForums special track

celebrity forum inatokelezea..kule ni ful uhondo
Kina Kiranga wamevamia...pia wanashusha nondo
Usisahau kuzipitia..spesho thread za kiba na dimondo..
Vilaza wanaacha O na kukamata sifuri..kama kutoka kwa wema kwenda kwa zari
 
Last edited by a moderator:
JF ni kila kitu kwangu,
Naiweka kwenye ratiba zangu,
Nawajua wabaya na Mungu,
Kuna mambo matamu na machungu,
JF iko juu kama sky

Kuanzia siasani, MMU hadi michezoni,
Tapata kitu maishani,
JF hakika imesheheni,
Iko juu kama sky

Wapo marafiki na wanafiki,
Watu wanakera na mahakamani hatufiki,
Like na komenti kama mkuki,
JF iko juu kama sky

Kutana na wanazuoni na wapambanaji,
Shuhudia wenye soni na waongeaji,
Tazama wapizani, na akina gwijimimi
JF ni tishio

Kivutio majina ya ID zitumikazo,
Hazifanani na watu wazitumiazo,
Na ukiwataja ni mzozo,
JF ni gumzo

JF ni chanzo cha ukakika,
Habari na taarifa kote Afrika,
Asia, Ulaya na Amerika,
Kote huko members wamefika,
JF ni kitu ingine
 
JF ni kila kitu kwangu,
Naiweka kwenye ratiba zangu,
Nawajua wabaya na Mungu,
Kuna mambo matamu na machungu,
JF iko juu kama sky

Kuanzia siasani, MMU hadi michezoni,
Tapata kitu maishani,
JF hakika imesheheni,
Iko juu kama sky

Wapo marafiki na wanafiki,
Watu wanakera na mahakamani hatufiki,
Like na komenti kama mkuki,
JF iko juu kama sky

Kutana na wanazuoni na wapambanaji,
Shuhudia wenye soni na waongeaji,
Tazama wapizani, na akina gwijimimi
JF ni tishio

Kivutio majina ya ID zitumikazo,
Hazifanani na watu wazitumiazo,
Na ukiwataja ni mzozo,
JF ni gumzo

JF ni chanzo cha ukakika,
Habari na taarifa kote Afrika,
Asia, Ulaya na Amerika,
Kote huko members wamefika,
JF ni kitu ingine

salute mdau, nimekuelewa
 
Last edited by a moderator:
dj MankaM weka biti kali/
kichwa kinauma kimejaa mistari/
mtengwa sharobaro hanywi chai bila sukari/

say yeaaahhhhhh
(mkono ikuluni)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom