JamiiForums special track

JamiiForums special track

aya chorus sasa heheheh

Jamani jei efuu hiiiiiiiiiiiii nhaaa
jamani jei efuuu hiiiiiiiiii nhaaa
pambalamba mbamba ngingu nhaaaa
 
thanks kwa kuianzisha jamii forum bro max melo/kupitia hapa najifunza kwa mb 8 za jero/lengo lilikuwa kutukutanisha ma great thinker/siku hizi jamvin had vilaza wamechanganyika/kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo tutafika/wapo great thinker wasoweza think nje ya box/gwijmim usije sema nimemtaja faiza foxy/waeshimiwa kupitia hapa tunawapa changamoto/Maana tukiandamana tunapewa mkon'goto/jamii forum ni chuo cha stadi za maisha/nenda jukwaa la mapenzi,ujasiria mali kama unabisha
 
Napenda mataako,
yaliyo mnato,
yananipa joto,
jf kuna mashostito,
hawana mvuto,
sura ,zao nzito,
kama mrisho mpoto....Hahaha mtaibaaa
ma2mbo unatisha
pisha nami nashusha
kisha naita pusha
alete cha arusha
nasaga, nanyonga
na stim napandisha... mjani
na-dis poda
Bifu kwa kaka Voda....
 
ahahahahahahhhhh uwiiiiii
baibui la faiza...... idumu JF

Chachu Ombara uwezi kunituliza,
Nitakupa kipara mpaka uone giza,
matumbo np imara koment zangu ni miujiza,
nna mistari michafu km baibui la faiza,
mfalme wa jeiefu madem kila siku wananipm eti nawamaliza......bado una energy nikumbushie enzi za ujana?
 
Last edited by a moderator:
Piga keleleeeeeeeee.......... oyo oyo
Jeiiii......efuuuuu
Wapi Invisible and max


One two one two
mtengwa


ongeza ufahamu, kama unataka knowledge/

peruzi kila forum, JF ni kama online college/

tema chema, kama kweli ni great thinker/

ukiwa vema, kokote ulipo utasikika/

kila jukwaa liko bize, am hadi pm/

ukimpenda mtu usiulize, muibukie pm/

warembo ndo kibao, jimwage mmu/

domo zege kalagabao, wanafaidi wajuzi tu/

jukwaa la siasa, ndo home of local politics/

karibu nakuhasa, utanielewa kwa hizi lyrics/
 
Last edited by a moderator:
@TZ boy nawakilisha Hip Hop jamii forum

sio wa @Mlandege me ni @mtengwa kijenge natuma salam

@milioni milioni hazinipigi chenga muulize @gwandumi

niite meek kama @millz nilivyo juu kiuchumi

@Muuza Sura mgumu kama @Gang Chomba

@dunia tunapita so usitumie ndumba
 
Kila nikivuta ganja nawaza kumtoamba Madam B,
Evelyn salt simuachi side B,
mara niota napiga dole Honey Faith.
Stimu zinazidi naomba path,
Toka nimfille Shyland,
namtafta Bush land,
 
Kila nikivuta ganja nawaza kumtoamba Madam B,
Evelyn salt simuachi side B,
mara niota napiga dole Honey Faith.
Stimu zinazidi naomba path,
Toka nimfille Shyland,
namtafta Bush land,
ha ha ha ha ha
Mimi ndio bush land

nawakilisha wachawi wa jf.
 
hata TFF humu wapo, kama Jamal Malinzi /

watu hawalali kama popo, utasema walinzi/

pitia jukwaa la ajira, kama unasaka kazi/

love connect ndo taswira, kwa wanaosaka wapenzi/

mmu ndo home of malavidavi, kama tip top connection/

jukwaa la elimu kiroho safi, napaita online tuition/

habari za udaku yuko warumi mpe respect/

iwe mchana au usiku, pitia jukwaa la ma celebrity/

jukwaa la matangazo ndo biashara zinafanyika/

ukiingia jf photo utasema uko insta/

Ahahahah thanks binamuuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom