Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Nichukue fursa hii kuwashukuru wanajamii wote kwa kunipa moyo na ushauri katika hali ngumu niliyokuwa napitia na pia naomba msamaha kwa wale wote niliowaudhi kwa namna yoyote ile, tukumbuke mimi pia ni binadamu na nina fikra postive na negative kama wanadamu wengine.
Pili nichukue nafasi hii kuishukuru JamiiForums kwa kuniwezesha kupata kazi nzuri ambayo tarehe 01 Feb 2014 nitaanza kufanya, ikumbukwe nilifukuzwa kazi kutokana na kutokuhudhuria mara kwa mara kazini kutokana na kumuuguza wife pamoja na mama pia.
Kupitia JamiiForums niliona tangazo la kampuni inayohitaji company Accountant na nikaomba...Mungu aliweza ninyooshea mkono wake na kuweza chaguliwa kati ya waliofanya interview...
JamiiForums ni mwanga na source ya mambo mengi sana tuitumie kwa mazuri, tuwe Great Thinker kweli na sio kupigana vijembe kila kukicha.
Pili nichukue nafasi hii kuishukuru JamiiForums kwa kuniwezesha kupata kazi nzuri ambayo tarehe 01 Feb 2014 nitaanza kufanya, ikumbukwe nilifukuzwa kazi kutokana na kutokuhudhuria mara kwa mara kazini kutokana na kumuuguza wife pamoja na mama pia.
Kupitia JamiiForums niliona tangazo la kampuni inayohitaji company Accountant na nikaomba...Mungu aliweza ninyooshea mkono wake na kuweza chaguliwa kati ya waliofanya interview...
JamiiForums ni mwanga na source ya mambo mengi sana tuitumie kwa mazuri, tuwe Great Thinker kweli na sio kupigana vijembe kila kukicha.