robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,142
- 3,334
JF kama maji usipoyanywa utayakoga, utayafulia, utakula chakula kilichohusisha maji ktk maandalizi, au utapanda gari yenye mfumo pozo wa maji (rejeta) hongera sana mkuu M. melo. hakika uliona mbali
