JamiiForums downtime - July 12, 2026

JamiiForums downtime - July 12, 2026

Asante sana Mkuu.

Alafu kuna yale mapumbavu machawa kutwa kushinda Jamii Forum huku Selikali yao haitaki uhuru wa mitandao ya Kijamii.

Inasikitisha sana.
 
Yote haya kisa kuzomewa
Gentleman,
kama unaweza kushangilia misiba au umauti wa mja wa Allah, mwenyewe maoni tofauti na yako, sidhani kama kuzomea inaweza kua jambo la kushangaza 🤣
 
Thread inakuwa ndefuuuu sijui hata kushusha inakuwa shida, au ni Mimi Sina ufahamu
 
Back
Top Bottom