Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 16,460
- 42,583
Ile timu yao ya doria mtandaoni ndio imefanya haya itakuwa.Leo tungetembezewa cosovoš
Ile timu yao ya doria mtandaoni ndio imefanya haya itakuwa.Leo tungetembezewa cosovoš
Wana hizo mbavu? Basi tuna hatari!Ile timu yao ya doria mtandaoni ndio imefanya haya itakuwa.
Akili zenu tunazijua.Wana JF kwa kudeka, yani jambo la kiufundi, wewe unafikiria hujuma.
Jamaa hana akili , kuchamba kwingi matokeo yake ndio hayoWana JF kwa kudeka, yani jambo la kiufundi, wewe unafikiria hujuma.
Wana JF kwa kudeka, yani jambo la kiufundi, wewe unafikiria hujuma.
Nyie ni watu waovu ndio maana hamuaminiki.Jamaa hana akili , kuchamba kwingi matokeo yake ndio hayo
HONGERA MKUU kwa kazi nzuri.Leo Julai 12, 2026 kulitokea changamoto kwenye miundombinu ya JamiiForums (hardware malfunction) na hivyo kupelekea kutopatikana kwa huduma kwa takribani saa 3.
Hata hivyo, kasoro hiyo iliyoripotiwa na wadau ilifanyiwa kazi wataalamu wa JF na huduma kurejea kama kawaida.
View attachment 3627754
View attachment 3627763
Tunashukuru pia mkuu wangu.Nawapongeza kwa usharp wa kiufundi wa idara husika ya technology na taarifa ya mapema sana kwa wateja, juu ya dharura ya kiufundi iliyojitokeza. Hii imesaidia pakubwa kuwaondoa hofu wadau wote wa JF.
Hongera kitengo cha huduma kwa wateja, hongera sana mafundi mitambo na JF management kwa ujumla kwa kujali wateja wenu na kufanya kazi kisasa zaidi.š
God bless JF,
Mungu Ibariki Tanzania
Stop imagining things.Who knows? May be, Yes.
Wenye nia ovu bado wapo online hawapendi kuona mipango yao ovu ikianikwa hadharani.
Huna akili , taarifa inajieleza wewe umekomaa na timu doria , Maarass ! unadharau mpaka taarifa ramsi ya JfIle timu yao ya doria mtandaoni ndio imefanya haya itakuwa.
Jina lenyewe mbuzi.Huna akili , taarifa inajieleza wewe umekomaa na timu doria Maarass unadharau mpaka taarifa ramsi ya Jf
well done the Boss and your JF hardworking team šTunashukuru pia mkuu wangu.
Aidha, nawashukuru wale waliotutafuta hadi kwa simu kutufahamisha kuna changamoto ya upatikanaji wa jukwaa.
Changamoto ilikuwa kwenye miundombinu tokana na masuala ya umeme kuleta mushkeli kwenye hardware. Hata hivyo, team ilifanyia kazi haraka na kuhakikisha huduma zinarejea.
Tunawashukuru kwa uvumilivu na ushirikiano wenu
Mkuu Maxence Melo uliliona ombi langu ?Tunashukuru pia mkuu wangu.
Aidha, nawashukuru wale waliotutafuta hadi kwa simu kutufahamisha kuna changamoto ya upatikanaji wa jukwaa.
Changamoto ilikuwa kwenye miundombinu tokana na masuala ya umeme kuleta mushkeli kwenye hardware. Hata hivyo, team ilifanyia kazi haraka na kuhakikisha huduma zinarejea.
Tunawashukuru kwa uvumilivu na ushirikiano wenu
Your mother tried to attack it and infact she encaged it some few months ago.well done the Boss and your JF hardworking team š
Asantee mkuuāŗļøLeo Julai 12, 2026 kulitokea changamoto kwenye miundombinu ya JamiiForums (hardware malfunction) na hivyo kupelekea kutopatikana kwa huduma kwa takribani saa 3.
Hata hivyo, kasoro hiyo iliyoripotiwa na wadau ilifanyiwa kazi wataalamu wa JF na huduma kurejea kama kawaida.
View attachment 3627754
View attachment 3627763