JamiiForums downtime - July 12, 2026

JamiiForums downtime - July 12, 2026

Maxence Melo

JF Founder
JF Staff
Joined
Feb 10, 2006
Posts
4,542
Reaction score
16,810
Leo Julai 12, 2026 kulitokea changamoto kwenye miundombinu ya JamiiForums (hardware malfunction) na hivyo kupelekea kutopatikana kwa huduma kwa takribani saa 3.

Hata hivyo, kasoro hiyo iliyoripotiwa na wadau ilifanyiwa kazi wataalamu wa JF na huduma kurejea kama kawaida.

Screenshot 2026-07-12 at 23.05.53.png

photo_2026-07-12_23-12-22.jpg
 
Nawapongeza kwa usharp wa kiufundi wa idara husika ya technology na taarifa ya mapema sana kwa wateja, juu ya dharura ya kiufundi iliyojitokeza. Hii imesaidia pakubwa kuwaondoa hofu wadau wote wa JF.

Hongera kitengo cha huduma kwa wateja, hongera sana mafundi mitambo na JF management kwa ujumla kwa kujali wateja wenu na kufanya kazi kisasa zaidi.🐒

God bless JF,
Mungu Ibariki Tanzania
 
Kumetokea shida kwenye forum yetu pendwa ilikuwa haiko hewani Kwa takribani masaa matano Sasa je tulishambuliwa? Maana toka zomeazomea ja juzi na hii fault ya Leo nadhani kuna namna jamiiforums ilikuwa under ATTACK hongera technicians team ya jamiiforums.
 
Kumetokea shida kwenye forum yetu pendwa ilikuwa haiko hewani Kwa takribani masaa matano Sasa je tulishambuliwa? Maana toka zomeazomea ja juzi na hii fault ya Leo nadhani kuna namna jamiiforums ilikuwa under ATTACK hongera technicians team ya jamiiforums.
Hao ni Baby FA na Konda buoy wame-unleash hasira zao kwa kuwa mliwazomea.

Next step: wata-Decimate/obliterate jF completely-back to the stone age sensu Trump.
 
Back
Top Bottom