Jamii ya Arusha Secondari

Nilisoma Arusha sec. 1981-1984;
Enzi za Mzee Lyatuu - Head Master; Mama Shuma - 2nd Mistress; Mrs Reading - Biology; Mrs Kinabo;
n.k
 
Nilisoma Arusha sec. 1981-1984;
Enzi za Mzee Lyatuu - Head Master; Mama Shuma - 2nd Mistress; Mrs Reading - Biology; Mrs Kinabo;
n.k

Mama Shuma nilimkuta pale pamoja na mama Kinabo, ila huyu mama Kinabo aliondoka sijui alikwenda wapi. Kuna kitu hamjakiongelea hapa, MAPISI(saa nne hapa ilikuwa ni balaa kwenye huo msitari), vipi mliyaacha nyie wa zamani ama? Mimi niliyakuta ila waliondoa nikiwa form 3 kama sijakosea.
 
No idea of mapisi[QUOTE=njiro;1980963]Mama Shuma nilimkuta pale pamoja na mama Kinabo, ila huyu mama Kinabo aliondoka sijui alikwenda wapi. Kuna kitu hamjakiongelea hapa, MAPISI(saa nne hapa ilikuwa ni balaa kwenye huo msitari), vipi mliyaacha nyie wa zamani ama? Mimi niliyakuta ila waliondoa nikiwa form 3 kama sijakosea.[/QUOTE]
 
Mama Shuma nilimkuta pale pamoja na mama Kinabo, ila huyu mama Kinabo aliondoka sijui alikwenda wapi. Kuna kitu hamjakiongelea hapa, MAPISI(saa nne hapa ilikuwa ni balaa kwenye huo msitari), vipi mliyaacha nyie wa zamani ama? Mimi niliyakuta ila waliondoa nikiwa form 3 kama sijakosea.

mama Kinabo alikwenda kuwa head mistress St Constantine......yale mapisi walikuja kutuondolea baada ya ufisadi wa nchi hii ulipoanza....ilikuwa burudani kweli......hivi unapakumbuka parkline?
 
mama Kinabo alikwenda kuwa head mistress St Constantine......yale mapisi walikuja kutuondolea baada ya ufisadi wa nchi hii ulipoanza....ilikuwa burudani kweli......hivi unapakumbuka parkline?[/QUOTE

Parkline napajua sana hapo, ila sijui kama bado panafanya kazi, nilikuwa nakaa mitaa ya karibu sana hapo, nimekula mihogo hapo juu kidogo na Uhuru primary, hii ni baada ya mapisi kutoka. Hivi Amigo hipo ama pameshauzwa?
 
MAPISI ilikuwa ni mikate, ilikuwa ni mirefu hivi(Ukienda pale clock tower unaweza kuona sample yake, wazungu wananunua hapo mirefu kama mihogo vile). So saa nne tunajipanga msitari kupata kupata chai na unapewa kipande kimoja cha mkate. Hayo ndio mapisi ndugu yangu Akhtoo. Ulikuwa una uwezo wa kupiga hata round mbili ila unaangalia ticha asikumaki sura. Kulikuwa kuna mistari miwili, mmoja wa wavulana na mwingine wa wasichana. Huu wa wasichana ulikuja kufa, kwani walikuwa wanazomewa ila kwa msichana mgumu alikuwa ananyooka tu mwenyewe hadi dirishani. Chai unapewa toka ndani ya dishi flani hivi za chuma. Kwa kifupi ilikuwa raha sana, unasukumwa, usaukuma hadi unafika dirishani.
 
Dah basi sisi tumekuja kipindi hamna cha mapisi wala chakula chochote hapo skuli. I can say Arusha sec was one of the best school in TZ.Kwa sasa shule imekuwa gofu na taaluma imedorora sana. At least A level wanajitahidi.
 
Dah basi sisi tumekuja kipindi hamna cha mapisi wala chakula chochote hapo skuli. I can say Arusha sec was one of the best school in TZ.Kwa sasa shule imekuwa gofu na taaluma imedorora sana. At least A level wanajitahidi.

Mimi nadhani kuna haja ya kuiga kama seminaries wanavyofanya, pass mark za term ni muhimu sana, hii itawafanya wanafunzi kuwa makini, jirushe kwa sana au ulale kwa sana BUT once akishindwa kutimiza pass mark either unarudia darasa ama go back home.
Ni mawazo yangu tu nawakilisha.
 
Mimi nadhani kuna haja ya kuiga kama seminaries wanavyofanya, pass mark za term ni muhimu sana, hii itawafanya wanafunzi kuwa makini, jirushe kwa sana au ulale kwa sana BUT once akishindwa kutimiza pass mark either unarudia darasa ama go back home.
Ni mawazo yangu tu nawakilisha.

Sio rahisi kwa shule za serikali kumfukuza au kuchuja wanafunzi mtu hata afeli mara kibao. Wanaburuzwa hivyo hivyo mwishowe wanafeli mbele ya safari.
 
mama Kinabo alikwenda kuwa head mistress St Constantine......yale mapisi walikuja kutuondolea baada ya ufisadi wa nchi hii ulipoanza....ilikuwa burudani kweli......hivi unapakumbuka parkline?[/QUOTE

Parkline napajua sana hapo, ila sijui kama bado panafanya kazi, nilikuwa nakaa mitaa ya karibu sana hapo, nimekula mihogo hapo juu kidogo na Uhuru primary, hii ni baada ya mapisi kutoka. Hivi Amigo hipo ama pameshauzwa?

pale amigo sijui kama bado kupo, palikuwa noma sana pale
 
Naskia Lowassa ni product ya Arusha sec :biggrin1::biggrin1:, he was a leader there.
 
Hi! skuli mates mbona mmemsahau TINGINYA na teacher mbaga!!

Tinginya alipata shida sana pale somo la siasa lilipobadilika na kuwa Civics, alikuwa hajui kidhungu , so kazi yake ikawa kuandika notes na kuchezesha basketball.
Huyu Mbaga wakati tupo form 2, alikuwa na kiofisi chake kule karibu na DS, kazi yake kujifungia ofisini na Mwl Maresi.
Mwanza one, unamfahamu Ngwenya? alikuwa mwanafunzi?
 
Tinginya alipata shida sana pale somo la siasa lilipobadilika na kuwa Civics, alikuwa hajui kidhungu , so kazi yake ikawa kuandika notes na kuchezesha basketball.
Huyu Mbaga wakati tupo form 2, alikuwa na kiofisi chake kule karibu na DS, kazi yake kujifungia ofisini na Mwl Maresi.
Mwanza one, unamfahamu Ngwenya? alikuwa mwanafunzi?

Mbaga mama alikuwa na roho mbaya sana huyu nina uhakika wengi waliopitia mikononi mwake hatutamsahau. Mnajua kashfa yake na head of the school hadi kupelekea mkuu kuhamishwa kituo cha kazi? baada ya Maresi alikuwa anajifungia na mkuu wa shule..... tuliokuwa form one A ya karibia na DS tuliona mengi kwa kweli duu..... :biggrin1::biggrin1:
 
Tinginya alipata shida sana pale somo la siasa lilipobadilika na kuwa Civics, alikuwa hajui kidhungu , so kazi yake ikawa kuandika notes na kuchezesha basketball.
Huyu Mbaga wakati tupo form 2, alikuwa na kiofisi chake kule karibu na DS, kazi yake kujifungia ofisini na Mwl Maresi.
Mwanza one, unamfahamu Ngwenya? alikuwa mwanafunzi?

Tinginya ni yupi tena au Tunu? mnamkumbuka mwalimu Shaghila aka "Shaggy" wa Civics? baada ya siasa kuanza kufundishwa kwa kiingereza yeye akajikita zaidi kwenye kufundisha mziki hahahahaaa
 
Lol! wewe tulimaliza pamoja, mimi pia nimemaliza 2002 na masweta mekundu!
hii kali,yaani hiyo miaka si kwamba mimi sikuwa nimezaliwa ila hata kufikiriwa kuzaliwa ilikuwa bado. Nilihitimu Arusha sec. 2002,don king ndio alikuwa anastaafu,namkumbuka sana mwl ikonje,sademaki,gidasaida,mama mollel,shuma mdogo,ngilisho,nyaruga,bashiri,masao,mzee wa upako. Tulihitimu na masweta mekundu na washkaji vichwa sana kina Geofrey Kiduma(nbc) charles massawe(engeneer),sigfrid phabian(bcom) dr. israel kasago,dr.raphael mwita,armani Gerald yupo uk,na wengine wengi wameshahitimu vyuo vikuu toka 2008.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom