Jamii ya Arusha Secondari

njiro

Senior Member
Nov 7, 2010
146
107
Hii ndio JF,
Kma wewe ni jamii ya Arusha sec, tufahamiane. Mi ni class ya 1995.
Namkumbuka sana Mwl Msomali(Bwana mazingira huyu)
 
Bila kumsahau mwalimu Moshi wa hisabati na Mama Shuma wa Biologia.

Tupo pamoja chali'angu.
 
Mwl shoo Hisabati, alikuwa anchapa sana huyu, Mama Lohay kiswahili na Kigingi bilogy upande wa Chemisty alikuwapo Mr Juma
 
Mwl shoo Hisabati, alikuwa anchapa sana huyu, Mama Lohay kiswahili na Kigingi bilogy upande wa Chemisty alikuwapo Mr Juma

Kuna Kinyau wa Biology, huyu alikuwa mrembo huyu.....dah...... Mama Shuma, Mr Moshi huyu bado huwa namuonaona pale, kuna yule Mzava alikuwa wa bookkeeping, badala ya kufundisha anaenda kufanya kazi UTC kama mhasibu. Huyu Mr Juma alikuwa na mkwara sana huyu, Mr Molel wa nini sijui yule bila kumsahau Lulabuka mzee wa arts....he he umenikumbusha long time mbaya kabisa
 
Kuna Kinyau wa Biology, huyu alikuwa mrembo huyu.....dah...... Mama Shuma, Mr Moshi huyu bado huwa namuonaona pale, kuna yule Mzava alikuwa wa bookkeeping, badala ya kufundisha anaenda kufanya kazi UTC kama mhasibu. Huyu Mr Juma alikuwa na mkwara sana huyu, Mr Molel wa nini sijui yule bila kumsahau Lulabuka mzee wa arts....he he umenikumbusha long time mbaya kabisa

Mr Juma ni marehemu. Mama Shuma kastaafu. Kinyau siku hizi ni matroni wa Hostel na kapewa cheo cha second mistress. Lulabuka mzee wa maombi na mikwara....

"Rambo" mlimuacha nyie?
 
Mr Juma ni marehemu. Mama Shuma kastaafu. Kinyau siku hizi ni matroni wa Hostel na kapewa cheo cha second mistress. Lulabuka mzee wa maombi na mikwara....

"Rambo" mlimuacha nyie?

ooh RIP Mr Juma....sikujua kama alikufa....Rambo si yule alikuwa anafundisha geography....nadhani alikuwa anaitwa Masao, tulimuacha na nadhani alikuja kuwa second mistress....kuna yule alikuwa anafundisha kiswahili simkumbuki jina alikuwa macho yake kama yanasinzia hivi....hivi Kisanji unamkumbuka?......yupo wapi siku hizi?

 
Kisanji wa kiswahili simpati, mie nilifundishwa na Mama Mgalula na Mzirai. Huyo wa kiswahili anaerumbua anataka kufanana na Mr. Bashiri wa Physics.

Shule imechange saana kwa sasa tofuti na miaka ile.
 
Kisanji wa kiswahili simpati, mie nilifundishwa na Mama Mgalula na Mzirai. Huyo wa kiswahili anaerumbua anataka kufanana na Mr. Bashiri wa Physics.

Shule imechange saana kwa sasa tofuti na miaka ile.

No...Kisanji nadhani alikuwa wa English....huyo wa kiswahili alikuwa mdada.......duh...hii thread imenikumbusha mambo sana....Njiro mbona kaingia mitini tena?
 
No...Kisanji nadhani alikuwa wa English....huyo wa kiswahili alikuwa mdada.......duh...hii thread imenikumbusha mambo sana....Njiro mbona kaingia mitini tena?

Njiro naona kaenda Njiro kupumzika :biggrin1:

Mie nilikuwa napenda afternoon session sana. Don King mlimuacha? i admired the guy.
 
I was thre in the 1960s. I believe ours was the fourth cohort to complete O levels in Arusha Seconday School in 1967. The first cohort of Theobald Mushi etc finished the Form 4 or O levels in 1964.
 
No...Kisanji nadhani alikuwa wa English....huyo wa kiswahili alikuwa mdada.......duh...hii thread imenikumbusha mambo sana....Njiro mbona kaingia mitini tena?
Mambo skulmate? Kumbe tuko wengi? Unamkumbuka Gidasaida wa physics?
 
Teachers in Arusha Secondary School then included Mr. Streets [an Afro American Peace Corp] Mr. McNickle; Mr. Harding; Mr. Pathan; Mr. Bhogal; Mr. & Mrs. Ahmed. The first African Headmaster was Mr. Mabele followed by Mr. Kabati and then Mrs. Materu came in from 1966 until the early 1970s. Other African teachers included Mr. Kilimba; Mr. Magembe etc.
 
Mr Juma ni marehemu. Mama Shuma kastaafu. Kinyau siku hizi ni matroni wa Hostel na kapewa cheo cha second mistress. Lulabuka mzee wa maombi na mikwara....

"Rambo" mlimuacha nyie?
Mi Rambo nilimuacha, amechukua soksi zangu nyingi sana! Maskin kumbe Mr. Juma alikufwaga?! RIP Mr. Juma.
 
Teachers in Arusha Secondary School then included Mr. Streets [an Afro American Peace Corp] Mr. McNickle; Mr. Harding; Mr. Pathan; Mr. Bhogal; Mr. & Mrs. Ahmed. The first African Headmaster was Mr. Mabele followed by Mr. Kabati and then Mrs. Materu came in from 1966 until the early 1970s. Other African teachers included Mr. Kilimba; Mr. Magembe etc.

nyie mlisoma muda kidogo......hiyo miaka wengine mama zetu walikuwa hawajajua kama watatupata, mimi headmaster niliyemuacha ni Shayo ambae alimpokea Mauki kama sikosei
 
dah...kumbe wewe skulmate bana.....huyu Gida alikuwa akikuchapa kujiokoa kwako ukimbie....ticha alikuwa noma kweli huyu
Nafurah kuona skulmates tuko wengi sana. Aisee huyu mbaba nlikuwa namwogopa balaa, kwenye kipindi chake nilikuwa hata sikohoi, kalamu ikidondoka siokoti mpaka kipindi kiishe!..lol.
 
nyie mlisoma muda kidogo......hiyo miaka wengine mama zetu walikuwa hawajajua kama watatupata, mimi headmaster niliyemuacha ni Shayo ambae alimpokea Mauki kama sikosei
Preta!! Itabidi tutaftane zaidi manake mi pia hmaster niliyemuacha alikuwa Mr. Shayo. Isijekuwa wewe ni clasmate pia.
 
Back
Top Bottom