falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
Huyu kama sio ile kampuni ya mafuta basi ni february, aka kipara
Mwanasheria mkuu amejumuishwahii ni civil petition against govt. ag lazima awe joined. la sivyo kutakuwa na amendment of plaint ya kumwongeza ag. "any petition against govt or its agency, ag shall be joined as one of the respondent",
na mimi nasubiria jibu hiloHapo sijaelewa kitu wakuu Naomba ufafanuzi, TCRA au polisi au mamlaka nyingine haziwezi kuchukua info zozote jf Bila riadha ya wahusika jf? Maana mwanzoni zilikuwepo taarifa kwamba mtu yeyoye akipost jambo ambalo polisi wataona linavunja sheria ya cybe crime wanauwezo wa kumpata mtu huyo kupitia simu yake au computer. Je kumbe hawawezi kufanya hiyo action direct Bila Kupata kibali kutoka uongozi wa jf?
Huwezi kumtambuwa mtumiaji bila kupata IP namba yake, wenye uwezo huo ni JF wenyewe, tatizo la hawa jamaa zetu ni kutumia mabavu bila akili, ingekuwa ni agency kama CIA ndio inatafuta info fulani JF basi ile kauli mbiu ya kila mtu ana bei yake ingetumika kupata hizo info lakini hapa kwetu bado kuna wanaoamini maguvu yana nafasi dunia ya leo.na mimi nasubiria jibu hilo