The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Msijali ASKOFU YUKO KAMATI YA VINYWAJI ATAKUJA NA BOKSI ZA KUTOSHA ZA VALUER,SAFARI WOTA
yala...
Mi gongo langu lisha chachamaa, yaani nikionana na pearl, ndipo litakapo dondoka chini.
ubarikiwe fake pastor
Askofu usije ukionekana tutamwomba mod akupige ban ya kutoongea mpaka uondoke
Msijali ASKOFU YUKO KAMATI YA VINYWAJI ATAKUJA NA BOKSI ZA KUTOSHA ZA VALUER,SAFARI WOTA
i cant wait jamani siku ifike.
Mod anapiga ban kwenye keyboard tu... kwenye mihadhara hawezi...
Sijui hiyo kamati nani kaiteua... anyway, nitaleta divai zilizoombewa za kutosha... (itasaidia kukamilisha zile sala zangu za kulaza baiolojia)...
Kumbe kuna vitendea kazi.......vipi hivyo!Usisahau kuja na vitendea kazi ni PM for more information
Askofu lini valuer zikageuka kuwa divai?
Hata maji yaligeuka kuwa divai.... iachie kamati hili suala...
Kumbe kuna vitendea kazi.......vipi hivyo!
aisee una utani na kanumba?ubarikiwe fake pastor
Venue ni ufukweni mwa bahari ya Hindi, pale Ununio Beach.
Baadae kidogo ntawatumia picha ya mandhari ili muweze kupata picha kamili ya eneo lenyewe.
Usalama upo, kwa ajili yenu na mali zenu.
:confused2::confused2::confused2::confused2:Nitakuja kufungua hiyo tugeza yenu kwa ray:ray:ray: ... then mtanieksichuzi niendelee na shughuli za huduma za kanisa kwingine... :lock1:(nina uhakika kwa maombi hayo baiolojia zote zitalala):lock1:... huku mkiendelea...:grouphug::drum::drum::behindsofa::gossip::clap2::horn::horn::horn::bathbaby::wave::angel::israel:arty:arty::amen:
Usisahau kuja na vitendea kazi ni PM for more information
Maji ndiyo yaligeuka lakini valuer haijawahi kugeuka okay kama ulivyosema nitakuachia wewe na kamati yako ya vimiminika usije ukamwaga valuer zetu halafu ukatujazia maji kwenye chupa ukasema umetenda muujiza
Hahahaha asisahau zana sio?
swahiba naanza kukuogopa aiseeNitakuwa busy na Da Sophy kuwatibia watakaozidiwa na maumivu ya kichwa na mgongo........
Mchicha?Utastaajabu Valuu zenu zitakapogeuka kuwa maji... lakini usijali, divai zitakuwepo kutenda kazi
Umesahau kizuri kula na nduguyo....nikishindwa nawapasia viongozi waandamizi!swahiba naanza kukuogopa aisee
utamweza?