Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,783
- Thread starter
- #21
Hahah haha ah aha ha aha...
Kwa hiyo mnahisi bujibuji naye ni adui wa jf?
Mi sidhani kama kutakuwa na jambo lolote baya.
Kizuri ni kuwa wenye kutaka kujumuika wajumuike, wasitaka waendelee na sherehe za siku ya uhuru.
Binafsi nitakuwepo.
Kwa hiyo mnahisi bujibuji naye ni adui wa jf?
Mi sidhani kama kutakuwa na jambo lolote baya.
Kizuri ni kuwa wenye kutaka kujumuika wajumuike, wasitaka waendelee na sherehe za siku ya uhuru.
Binafsi nitakuwepo.
usalam ziro wajameni siku hiyo tutakimbiana wenyewe kwani get together but it will be run away
conquest-wana jf tunatafutwa na maadui zetu kutokana na ukweli wetu.