sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,425
Hivi ikitokea kukawa na party ya wana jamii forum au mkutano utakaojumuisha wanajamii forum wote wanaochat na kuchangia mada mbalimbali humu jamvini tukaonana uso kwa uso na kuchangia hizi mada live itakuwaje? Navuta hisia sipati picha nikisalimiana na uporoto, nikicheka na kugonga na lizzy au nikichangia mada aliyoianzisha king'asti.
Wewe kama mwana jukwaa la jamii forum unafikiri kwenye hiyo part/mkutano watu wataanzisha mada kama hivi wanavoandika? Na pia watachangia na kutoa majibu kama haya wanayoandika? Unaweza fikiri umri utakuwa kuanzia rika lipi? Wazee, vijana, wanene, wafupi ...
Karibu uweke mawazo unayofikiri party ya jf itakavokuwa.
Wewe kama mwana jukwaa la jamii forum unafikiri kwenye hiyo part/mkutano watu wataanzisha mada kama hivi wanavoandika? Na pia watachangia na kutoa majibu kama haya wanayoandika? Unaweza fikiri umri utakuwa kuanzia rika lipi? Wazee, vijana, wanene, wafupi ...
Karibu uweke mawazo unayofikiri party ya jf itakavokuwa.