Jamii forum hii lol!

ukukagame yukwapi nasikia ni mbaya mbovu kama negative ya mizengo pinda

hahhahahhahaj nafwaaa wapi evelyn salt,TATIANA,Dinazarde umeinyaka hiyo,kim nana duh nataman kesho ingekua juma3 ya pasaka tena
 
Hii nchi kumbe kuna mengi ya kustaabisha ee? Halafu uzi umeja coments tele!
 
Hongera sana kuapata msamaha Dinazarde, natumaini unapokuwa na mumeo kipenzi Redlum utaweka simu yako pembeni mbali kabisa na kupata wasaa wa kuwa na mume
 
Last edited by a moderator:

Ntapanda boti nije nikuombee msamaha.
 
loh shemeji pole najua yameshaisha unajua sisi watu wa pande ya ziwa hatuna mengi ukiomba msamaha tu baaaaaaaaasi.

Sasa Shemeji ulichelewaaa jamanii ila haina mbayaa ashanielewaaa pia rafiki zangu wameniombeaa msamahaa duuu nilikua nishakua mdogo kama piliton lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…