Jamii forum hii lol!


Mmmwaaaaaaa bonge la likee nimekupaa my diaa umeandika vyemaa sanaa japo wenye vichwaa vigumuu hawatakuelewaaa umesemaa vyemaaa mpaka nimekosa cha kuongeaaa
 
Hayaa nishaachaaaaa namcaree sasa hiviiiii

Nawe dear umeingia JF kuelezea yaliyokusibu badala ya kuniandikia tu whatsapp nami nikaacha kujitokeza lakini maadamu uliandika kuokoa mahusiano hilo umefanikiwa maana hali ilikuwa mbaya. Lakini sasa nakukumbusha kuwa kuandika kwako huu uzi nami nikatokea jiandae kwa yafuatayo JF, less likes, less quotes, less mentions and less PM toka kwa wanaume baadhi walikupigia hesabu wakupate wale hutumia JF kutafuta wa kulamba ila wengine wataendelea maana ni wanaforum wa kujadili bila kujali sie siasani na kwenye Great Thinkers hatuana hili tatizo kama huku MMU malavidavi mengi na imagination za kumpata fulani nyingi mno sababu ya ile mijadala ya mapenzi wengine hutekewa na kudhania kweli
 
Barua yote hii Jr
 

dah. Dunia ina vituko hii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…