Na mie ntoee wapiii ufunguoo hata wa pikipiki tu aiseee
Mmekaa kiswahili swahili duu,,ndo mana mie naichukia tz
Mmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Kidogo jana nile ban ya utamu we
Mmekaa kiswahili swahili duu,,ndo mana mie naichukia tz
Mmekaa kiswahili swahili duu,,ndo mana mie naichukia tz
Hahhhahhhahhhahh aisee
Basi husipaniki mtu wangu akikuzingua tena usijiue we njo kwangu tu utafurahia maisha.Mmekaa kiswahili swahili duu,,ndo mana mie naichukia tz
Mmekaa kiswahili swahili duu,,ndo mana mie naichukia tz
Utuwache na uswahili wetu tuinjoi maisha yetu ya kiswazi.. Evelyn Salt hebu niazime like dera lako la blue leo naenda jahazi modern.. Dinazarde upo chumbani kwakoo? Nakuja uniazime zile hereni zako nimatch na dera leo nna mtoko. Kim nana naomba mboga nishaivisha ugali mie hata sijapika mboga leo nilikuwa na hela ya unga robo tu.
Mi nataka atoe uzii mwingineee jamaniii hahhhha
Shost hiyo kazi ndogo Sana kwangu na Evelyn Salt maana jirani na mitaa yetu kuna garage...mpaka jioni nitakuwa nimeokota nitakuletea. Waulize na kina Kim nana qn of sheba na wengineo Kama wanataka niwaokotee
Basi husipaniki mtu wangu akikuzingua tena usijiue we njo kwangu tu utafurahia maisha.
Na mie niokotee nikawarushe roho!