Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,041
- 13,688
- Thread starter
- #41
So?!? Ikichezewa mahakani?!?!
Jamhuri ila game si inaenda kuchezwa mahakamani
Jamhuri ila game si inaenda kuchezwa mahakamani
So?!? Ikichezewa mahakani?!?!
Kihisa anajulikana ila kisheria hajulikani maana hajatajwa ndo hapo jamhuri inabidi imlete..Obvious wanamjua ndo maaana ikawauma
Ila message sentSiku hizi ujinga na upumbavu imekuwa Ni Kama busara.huyo kijana ni mjinga japo hawezi kufungwa kwa kuwa sioni kosa kisheria lakini Ni mjinga na anabakia kuwa mjinga.sisi hatufagilii Mambo ya kijinga.
Na wewe ni walewale tu! Wewe hata mahakamani husitahili kufikishwa.Jamhuri imempandisha kizimbani kijana Emmanuel Mahumbi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuchapisha taarifa ya uongo katika ukurasa wake wa Facebook.
Mahumbi anadaiwa kuwa mnamo September mwaka 2018 aliandika "KICHAA MMOJA ANATOA KAFARA KIBOYA KWELI. KAENDA KUMUONA DADA YAKE BUGANDO KUMBE NDO ANAMKABIDHI KWA FREEMASONS. SIKU MOJA BAADA YA KUMUONA AKAFA. KAENDA UKEREWE SIKU MBILI BAADAE WAKAFA. KUMBE ALIENDA KUWAKABIDHI FREEMASONS. BOYA KWELI LIAMBIENI LIBADILIKE LITAMALIZA WATU"
#MyTake:
Wanasheria hebu tusaidieni kidogo hapa. Hii kesi kwanini imekuwa criminal? Is there any offence against the state? Ni ajabu kuwa anayedaiwa kuchafuliwa ni kichaa halafu mlalamikaji ni Jamhuri. Tangu lini Jamhuri imeanza kutetea vichaa? Kwanini huyo kichaa mwenyewe asilalamike kwa kufungua Libel defamatory charges mahakamani? Kwanini Mahumbi ameshtakiwa kutoa taarifa ya uongo. Ni uongo upi amesema?
Huyo 'kichaa' aliyetajwa na Mahumbi kuwa anatoa kafara kiboya ni nani? Na kwanini Jamhuri imtetee mtu ambaye ni kichaa? Je Jamhuri inaweza kuthibitisha kuwa kichaa huyo hana uhusiano na Freemasons kama Mahumbi alivyodai? Je Jamhuri inaweza kuthibitisha kuwa kichaa huyo sio boya kama ilivyodaiwa?
Naona kama Jamhuri inaenda kushindwa hii kesi mapema sana kwa sababu haiwezi kuprove allegetions dhidi ya Mahumbi (kumbuka the burden of proof rely to the one who allege). ili Jamhuri ishinde inatakiwa ituambie huyo kichaa ni nani. Then ithibitishe kwamba kichaa huyo hana uhusiano na Freemasons. Tatu iweze kuprove kwamba kichaa huyo hatoi kafara kama ilivyoelezwa. Na mwisho ithibitishe kuwa kichaa huyo sio boya. Kesi kama hizi apewe Wakili Peter Kibatala Hekima Mwasipu au Sheck Mfinanga utazimia kwa burudani, jinsi mawakili wa Jamhuri watakavyokua wakiomba maji mahakamani.!
C&PView attachment 1022673
Na wewe endelea kujitoa akili tu!Mbona sijaona tusi hapo zaidi tu ya yeye kutoa povu lililoko moyoni mwake. Na hajataja jina maana walioenda bugando na Ukerewe ni wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe endelea kujitoa akili tu!
Na wewe ni walewale tu! Wewe hata mahakamani husitahili kufikishwa.
wewe umeshamjua huyo kichaa ni nani?afungwe maisha na wengine wenye akili kama yake iwe fundisho maana kuna watu wanajifanya wanatumia maneno ya kuficha huku wakijua na sisi tuna akili timamu
fumbo mfumbie mjinga haya mafumbo watawatokea puani bavicha
Kwahiyo kazi ya Jamhuri ni kuwafanya watu wahae?!!Ingawa sheria yaweza kuwa upande wake ila atahaha kidogo
Wewe ni mnufaika makondaSiku hizi ujinga na upumbavu imekuwa Ni Kama busara.huyo kijana ni mjinga japo hawezi kufungwa kwa kuwa sioni kosa kisheria lakini Ni mjinga na anabakia kuwa mjinga.sisi hatufagilii Mambo ya kijinga.
Na wewe ni walewale tu! Wewe hata mahakamani husitahili kufikishwa.
Mmoja mmoja tuHamwezi kutumaliza woote
kama ndo ivyo.jamhuri itakuwa imeshindwa kesi.shida ni muda wa kuletwa kichaa utakuwa umekaa zaid ya mbowe.ndio ujie mdomo hiponza kichwa
afungwe maisha na wengine wenye akili kama yake iwe fundisho maana kuna watu wanajifanya wanatumia maneno ya kuficha huku wakijua na sisi tuna akili timamu
fumbo mfumbie mjinga haya mafumbo watawatokea puani bavicha
Subili kama nawe kesho utalala nyumbani. Chrge sheet inaandaliwa, tayari!Jiwe kichaa linahangaika sana na issue ndogo ndogo. Nyerere pia aliitwa mchonga.