Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,028
- 13,666
- Thread starter
- #21
JiweJiwe kichaa linahangaika sana na issue ndogo ndogo. Nyerere pia aliitwa mchonga.
JiweJiwe kichaa linahangaika sana na issue ndogo ndogo. Nyerere pia aliitwa mchonga.
Kufanya argument na watu kariba yako kunaitaji busara za hali juuu.hivi unajua tangu amekamatwa alikuwa wapi.hahahah
kwani huyo kichaa boya ni nani,mi hili fumbo sijafakiwa kulifumbuaafungwe maisha na wengine wenye akili kama yake iwe fundisho maana kuna watu wanajifanya wanatumia maneno ya kuficha huku wakijua na sisi tuna akili timamu
fumbo mfumbie mjinga haya mafumbo watawatokea puani bavicha
Obvious wanamjua ndo maaana ikawaumaShida ipo pale jamhuri itakapo ambiwa imlete huyo kichaa hapo mahakamani na ni yupi wakati hajatajwa jina?
We ndo unamihemko issue zakijinga unadeclare niujinga halafu zinakutoa povu na mavi na wewe utakuwa walewale wakinakichaahaya
haya ww unajiona upo salama sana.punguza mihemko
Kwanza havieleweki, context yake haielewekiJamhuri imempandisha kizimbani kijana Emmanuel Mahumbi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuchapisha taarifa ya uongo katika ukurasa wake wa Facebook.
Mahumbi anadaiwa kuwa mnamo September mwaka 2018 aliandika "KICHAA MMOJA ANATOA KAFARA KIBOYA KWELI. KAENDA KUMUONA DADA YAKE BUGANDO KUMBE NDO ANAMKABIDHI KWA FREEMASONS. SIKU MOJA BAADA YA KUMUONA AKAFA. KAENDA UKEREWE SIKU MBILI BAADAE WAKAFA. KUMBE ALIENDA KUWAKABIDHI FREEMASONS. BOYA KWELI LIAMBIENI LIBADILIKE LITAMALIZA WATU"
#MyTake:
Wanasheria hebu tusaidieni kidogo hapa. Hii kesi kwanini imekuwa criminal? Is there any offence against the state? Ni ajabu kuwa anayedaiwa kuchafuliwa ni kichaa halafu mlalamikaji ni Jamhuri. Tangu lini Jamhuri imeanza kutetea vichaa? Kwanini huyo kichaa mwenyewe asilalamike kwa kufungua Libel defamatory charges mahakamani? Kwanini Mahumbi ameshtakiwa kutoa taarifa ya uongo. Ni uongo upi amesema?
Huyo 'kichaa' aliyetajwa na Mahumbi kuwa anatoa kafara kiboya ni nani? Na kwanini Jamhuri imtetee mtu ambaye ni kichaa? Je Jamhuri inaweza kuthibitisha kuwa kichaa huyo hana uhusiano na Freemasons kama Mahumbi alivyodai? Je Jamhuri inaweza kuthibitisha kuwa kichaa huyo sio boya kama ilivyodaiwa?
Naona kama Jamhuri inaenda kushindwa hii kesi mapema sana kwa sababu haiwezi kuprove allegetions dhidi ya Mahumbi (kumbuka the burden of proof rely to the one who allege). ili Jamhuri ishinde inatakiwa ituambie huyo kichaa ni nani. Then ithibitishe kwamba kichaa huyo hana uhusiano na Freemasons. Tatu iweze kuprove kwamba kichaa huyo hatoi kafara kama ilivyoelezwa. Na mwisho ithibitishe kuwa kichaa huyo sio boya. Kesi kama hizi apewe Wakili Peter Kibatala Hekima Mwasipu au Sheck Mfinanga utazimia kwa burudani, jinsi mawakili wa Jamhuri watakavyokua wakiomba maji mahakamani.!
C&PView attachment 1022673
Kwani ameshitakiwa na mahakama?!??Hayo uliyoyasema yoote mahakama inayajua. Ila huyo jamaa lazima aulipie huo ujinga wake
Haina dhamana? Au Wilbard Mshauri anarudi Kisutu?shida ni muda wa kuletwa kichaa utakuwa umekaa zaid ya mbowe.ndio ujie mdomo hiponza kichwa
Kwani ameshitakiwa na mahakama?!??
afungwe maisha na wengine wenye akili kama yake iwe fundisho maana kuna watu wanajifanya wanatumia maneno ya kuficha huku wakijua na sisi tuna akili timamu
fumbo mfumbie mjinga haya mafumbo watawatokea puani bavicha
Nani katukanwa hapo kwani????Siku hizi ujinga na upumbavu imekuwa Ni Kama busara.huyo kijana ni mjinga japo hawezi kufungwa kwa kuwa sioni kosa kisheria lakini Ni mjinga na anabakia kuwa mjinga.sisi hatufagilii Mambo ya kijinga.
Nani katukanwa hapo kwani????afungwe maisha na wengine wenye akili kama yake iwe fundisho maana kuna watu wanajifanya wanatumia maneno ya kuficha huku wakijua na sisi tuna akili timamu
fumbo mfumbie mjinga haya mafumbo watawatokea puani bavicha
Mkuu mimi huwa naheshimu sana uhuru wa mawazo lakini alichoandika huyo jamaa siyo uhuru wa mawazo, kulingana na mazingira yetu. Hayo maneno yangeandikwa kwenye nchi za watu wenye uelewa na wasioamini ushirikina mimi wala nisingeshangaa kwani ni wengi wangemdharau. Lakini maneno haya kwa nchi yetu yenye raia ambao karibu wote tunaamini ushirikina na upeo wetu wa kuchambua mambo ulivyo mdogo ni hatari tena hatari kweli! Tunapoona mambo ya ajabu kama watoto wadogo kuuawa kwa imani za kishirikina yanaanzia mbali. Ujinga kama alioandika huyo jamaa ndiyo unachipua kama mbegu na kuwa miti ya maovu.Mna complicate maisha sijaona kosa hapo heshimuni Uhuru aisee ukifatilia watanzania million hamsini ni ukosefu wa kazi huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi huwa naheshimu sana uhuru wa mawazo lakini alichoandika huyo jamaa siyo uhuru wa mawazo, kulingana na mazingira yetu. Hayo maneno yangeandikwa kwenye nchi za watu wenye uelewa na wasioamini ushirikina mimi wala nisingeshangaa kwani ni wengi wangemdharau. Lakini maneno haya kwa nchi yetu yenye raia ambao karibu wote tunaamini ushirikina na upeo wetu wa kuchambua mambo ulivyo mdogo ni hatari tena hatari kweli! Tunapoona mambo ya ajabu kama watoto wadogo kuuawa kwa imani za kishirikina yanaanzia mbali. Ujinga kama alioandika huyo jamaa ndiyo unachipua kama mbegu na kuwa miti ya maovu.