Jamhuri ya Cuba | República de Cuba

Jamhuri ya Cuba | República de Cuba

Nchi nyingi zilizowekewa kikwazo na Marekani zikashindwa ku survive ni zile zinazotegemea chakula kutoka nje, mahitaji ya muhimu ya kibinadamu kama madawa, nguo. Lakini nchi zenye mambo hayo na zikawa na teknolojia kubwa, wasomi na kulinda utaifa wao ni lazima wasurvive tu na vikwazo vya marekani.
💯 Hata kutafuta masoko kama zinafungamana na mataifa mengine, zinafanya biashara.
 
Ni kweli kama sio Cuba, basi MPLA ingeshindwa kirahisi Sana na UNITA iliyokuwa ikisaidiwa na serikali ya makaburu, Zaire ya Mobutu na Marekani.

Ila huo mzozo ulisukumwa zaidi na Vita baridi ya wakubwa wa dunia wakati huo.
Vita ilianza tu baada ya uhuru ,Wareno waliwapa MPLA uhuru kichinichini kwa maslahi yao binafsi bila kuwajulisha UNITA,.MPLA hawakutaka Demokrasia kwa sababu walijua wakiingia kwenye uchaguzi hawawezi kuwashinda UNITA,wakapewa tafu na Soviet,Cuba, China na wapambe wengine wa kisocialist wakawapa support ,wakaamua kutangaza Nchi ni ya chama kimoja,UNITA wakapewa kichapo cha mbwa koko wakaishia maporini huko,Baadaye makaburu,USA na wapambe wa kicapitalist wakampa tafu ya vifaa na intelligence,manpower kwa UNITA haikuwa tatizo mdogomdogo wakaibuka wakaushikilia mji wa pili kwa ukubwa Uhambo,Castro na wapambe zake akaona isiwe tabu akatuma mtu za kutosha,kwanza alitanguliza wanajeshi weusi kukwepa kujulikana,CIA agent mmoja akiwa hotelini jijini Luanda alishtushwa baada ya kuona kuna weusi walioshiba mia kadhaa wakipepesapepesa macho lakini wanaongea kihispania na si kireno na story za baseball wakati Angola baseball siyo popular,baadaye akaja kugundua ni wacuba kukawa hamna siri tena na Castro akautangazia ulimwengu kuwa atazipiga na mabepari kokote pale duniani.Tanzania na sisi tulitoa support kwa MPLA japokuwa kichinichini sana.
 
Vita ilianza tu baada ya uhuru ,Wareno waliwapa MPLA uhuru kichinichini kwa maslahi yao binafsi bila kuwajulisha UNITA,.MPLA hawakutaka Demokrasia kwa sababu walijua wakiingia kwenye uchaguzi hawawezi kuwashinda UNITA,wakapewa tafu na Soviet,Cuba, China na wapambe wengine wa kisocialist wakawapa support ,wakaamua kutangaza Nchi ni ya chama kimoja,UNITA wakapewa kichapo cha mbwa koko wakaishia maporini huko,Baadaye makaburu,USA na wapambe wa kicapitalist wakampa tafu ya vifaa na intelligence,manpower kwa UNITA haikuwa tatizo mdogomdogo wakaibuka wakaushikilia mji wa pili kwa ukubwa Uhambo,Castro na wapambe zake akaona isiwe tabu akatuma mtu za kutosha,kwanza alitanguliza wanajeshi weusi kukwepa kujulikana,CIA agent mmoja akiwa hotelini jijini Luanda alishtushwa baada ya kuona kuna weusi walioshiba mia kadhaa wakipepesapepesa macho lakini wanaongea kihispania na si kireno baadaye akaja kugundua ni wacuba kukawa hamna siri tena na Castro akautangazia ulimwengu kuwa atazipiga na mabepari kokote pale duniani.Tanzania na sisi tulitoa support kwa MPLA japokuwa kichinichini sana.
Safi Sana kwa kuweka hili sawa, Cuba imehusika katika mataifa 30 ya Afrika katika shughuli za ukombozi mbalimbali. Lakini hii ya Angola na Algeria ndio zilikuwa hatari.
 
Na ndio maana pamoja na vikwazo lakini Russia ndio mnunuzi na msambazi mkubwa wa bidhaa cuba
Hakika, na ukifuatilia kwa ukaribu bidhaa za mataifa yenye vikwazo zinasambazwa kwa mgongo wa mataifa ya Urusi, Uchina na Uturuki kidogo Brasil pia.
 
Safi Sana kwa kuweka hili sawa, Cuba imehusika katika mataifa 30 ya Afrika katika shughuli za ukombozi mbalimbali. Lakini hii ya Angola na Algeria ndio zilikuwa hatari.
Ilikuwa hatari kweli kweli kuna Vita vikali vilitokea pale Angola (Cuito) kati ya majeshi ya Cuba, Angola (FPLA) na Wapigania uhuru wa Namibia (PLAN) yakiwa upande mmoja dhidi ya majeshi ya Africa Kusini (SANDF) na UNITA upande mwingine.

Hii Vita ndiyo iliamua mustakabali wa Uhuru wa Namibia maana pande zote zilikubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo huku US na USSR wakiwa kama wapatanishi wakuu ambapo walikubaliana Cuba iondoe askari wake wote Angola ili Namibia ipatiwe Uhuru jambo ambalo Castro alikubali na mpaka kufikia mwaka 1990 (Kama sijakosea) Cuba iliondoa askari wake karibu 50,000 waliokuwepo huko na Namibia kupata uhuru wake huku kiongozi wa wapigania Uhuru wa PLAN ambaye alikuwa Sam Nujoma akiwa Rais wa kwanza wa Namibia huru baada ya kushinda uchaguzi.
 
...Tanzania na sisi tulitoa support kwa MPLA japokuwa kichinichini sana.
Mkuu mchango wa Tz kwenye suala la Angola lina utata sana na linahitaji mjadala kidogo kuhusu ni nini hasa ulikuwa msimamo wa Mwl Nyerere kuhusu nani hasa akabidhiwe Uhuru.

Niliwahi kusoma makala moja ya Jenerali Ulimwengu kwenye gazeti la ' Raia mwema' ambaye alikuwepo Angola wakati huo (1975) wakati Wareno wakiwa wapo njia panda hawajui nani wampe nchi kati ya UNITA,MPLA na FNLA.

Anasema hata baada ya MPLA kupewa Uhuru baada ya kuwashinda UNITA na FNLA kijeshi bado Umoja wa Africa (OAU) wakati huo na hata Mwl Nyerere hawakuwa wameutambua Uhuru huo hapo awali maana kulikuwa na mgawanyiko OAU maana Africa Kusini ilikuwa bado haijafukuzwa uanachama hivyo ilishinikiza OAU kutoutambua Uhuru huo.

Kwenye ile makala ameandika japo Zambia walikuwa wa mwanzo kuutambua Uhuru wa Angola ila ilichukua muda kidogo kwa Mwl Nyerere kuitambua Angola kama nchi huru na MPLA kama chama tawala.
 
Mkuu mchango wa Tz kwenye suala la Angola lina utata sana na linahitaji mjadala kidogo kuhusu ni nini hasa ulikuwa msimamo wa Mwl Nyerere kuhusu nani hasa akabidhiwe Uhuru.

Niliwahi kusoma makala moja ya Jenerali Ulimwengu kwenye gazeti la ' Raia mwema' ambaye alikuwepo Angola wakati huo (1975) wakati Wareno wakiwa wapo njia panda hawajui nani wampe nchi kati ya UNITA,MPLA na FNLA.

Anasema hata baada ya MPLA kupewa Uhuru baada ya kuwashinda UNITA na FNLA kijeshi bado Umoja wa Africa (OAU) wakati huo na hata Mwl Nyerere hawakuwa wameutambua Uhuru huo hapo awali maana kulikuwa na mgawanyiko OAU maana Africa Kusini ilikuwa bado haijafukuzwa uanachama hivyo ilishinikiza OAU kutoutambua Uhuru huo.

Kwenye ile makala ameandika japo Zambia walikuwa wa mwanzo kuutambua Uhuru wa Angola ila ilichukua muda kidogo kwa Mwl Nyerere kuitambua Angola kama nchi huru mikononi mwa MPLA.
Asante sana kwa ufafanuzi mkuu.
 
Huu utaratibu wa maboresho ya nyumba ungekuwepo tz dar es salaam ingevutia sana maana hapa bongo kuna watu wanajenga vituko
 
Hii nchi wananchi wanaishi Kwa raha sana

Ila siku wakiisaliti serikali wanaweza kupotea kwenye ramani, maana serikali ya uko INA power sana
 
Huu utaratibu wa maboresho ya nyumba ungekuwepo tz dar es salaam ingevutia sana maana hapa bongo kuna watu wanajenga vituko
Hahaha 😁 Kweli aisee

2019-08-23_14_072019-08-23_14_0620190825_El-turismo-a-Cuba-se-desploma-por-restricciones-de-vi...jpg
 
Hii nchi wananchi wanaishi Kwa raha sana

Ila siku wakiisaliti serikali wanaweza kupotea kwenye ramani, maana serikali ya uko INA power sana
Hata raia wanaipenda serikali yao
 
Mkuu mchango wa Tz kwenye suala la Angola lina utata sana na linahitaji mjadala kidogo kuhusu ni nini hasa ulikuwa msimamo wa Mwl Nyerere kuhusu nani hasa akabidhiwe Uhuru.

Niliwahi kusoma makala moja ya Jenerali Ulimwengu kwenye gazeti la ' Raia mwema' ambaye alikuwepo Angola wakati huo (1975) wakati Wareno wakiwa wapo njia panda hawajui nani wampe nchi kati ya UNITA,MPLA na FNLA.

Anasema hata baada ya MPLA kupewa Uhuru baada ya kuwashinda UNITA na FNLA kijeshi bado Umoja wa Africa (OAU) wakati huo na hata Mwl Nyerere hawakuwa wameutambua Uhuru huo hapo awali maana kulikuwa na mgawanyiko OAU maana Africa Kusini ilikuwa bado haijafukuzwa uanachama hivyo ilishinikiza OAU kutoutambua Uhuru huo.

Kwenye ile makala ameandika japo Zambia walikuwa wa mwanzo kuutambua Uhuru wa Angola ila ilichukua muda kidogo kwa Mwl Nyerere kuitambua Angola kama nchi huru na MPLA kama chama tawala.
Ukiskia Tanzania imejihusisha na taifa fulani usiangaike! Tafuta chama cha kijamaa au mfumo wa kijamaa utapata jawabu.
 
Kutoka nchi gani?.Ufilipino ni mshirika mkuu wa Marekani, hapa hapana , Philippine wana uhusiano wa karibu sana na USA tena anamsaidia USA kuichokoza China kuhusi South China Sea
Ni kweli mkuu upo ushirikiano mkubwa baina yao lakini kuna suala la madawa linawavuruga.

"Duterte pulled the plug on the VFA on Feb. 11 in an angry response to the revocation of a U.S. visa held by a former police chief-turned-senator who led his war on drugs.

The official reason for Duterte’s withdrawal was to enable the Philippines to diversify its foreign relations.

The U.S. Embassy in Manila welcomed the suspension.

“Our long-standing alliance has benefited both countries, and we look forward to continued close security and defense cooperation with the Philippines,” it said."

Philippines' Rodrigo Duterte makes U-turn on scrapping U.S. troop deal | The Japan Times
 
Back
Top Bottom