Jamhuri ya Cuba | República de Cuba

Jamhuri ya Cuba | República de Cuba

Da ni nchi mojawapo lazima nitembelee kabla sijafa kama mungu atabaliki cuba ethiopa nikaone yale makanisa kule lalibela yaliyojengwa na malaika The lalibela churches na japan
Amini na utafika 😊
 
Kwa mataifa yanayojielewa vikwazo havifanyi kazi yoyote.
Inatumia mbinu wezeshi ya kumpatia Urusi na Uturuki asambaze. Hata hivyo vikwazo vya Marekani kwa Kuba ni vidogo ukilinganisha mataifa mengine.

Kwa mataifa yanayojielewa vikwazo havifanyi kazi yoyote.
Nadhani hii ndio hoja MAMA juu yavikwazo MKUU navikwazo vinaleta athari kusudiwa hasa katika Ulimwengu watatu maana wao kila kitu msaada.....
 
Kwa mataifa yanayojielewa vikwazo havifanyi kazi yoyote.Nadhani hii ndio hoja MAMA juu yavikwazo MKUU navikwazo vinaleta athaei kusudiwa hasa katika Ulimwengu watatu.....
💯 Maana Korea Kaskazini, Cuba, Iran, Bolivia, Beralus, Ufilipino wanaendeleza biashara.
 
Big up sana kwa wacuba wote mliojitolea kwa hali na Mali kuipigania Afrika dhidi ya mabeberu,ikitokea nchi yoyote inataka kuishambulia Cuba Niko teyari kuwapa msaada wa kufanya hujuma kwa nchi vamizi
Viva Cuba
Estamos juntos
Nalog off
 
Big up sana kwa wacuba wote mliojitolea kwa hali na Mali kuipigania Afrika dhidi ya mabeberu,ikitokea nchi yoyote inataka kuishambulia Cuba Niko teyari kuwapa msaada wa kufanya hujuma kwa nchi vamizi
Viva Cuba
Estamos juntos
Nalog off
Hahaha 😁

Ujue Cuba kila mwaka hutoa wataalamu mbalimbali kwa nchi zinazoendelea na Afrika huku ikiwalipa wenyewe.
 
Wacuba waliwazalisha sana wanawake wa Angola mpaka Gringo mmoja wa chombo cha habari cha makaburu akaanza kueneza propaganda kuwa wanajeshi wa Cuba wenye asili ya kihispania wamekuja kuwadhalilisha wanawake weusi kwa kuwatia mimba na kuzaaaazaa nao hovyo,Castro akajibu wao hawana tabia na utamaduni wa kishenzi na ubaguzi kama wao,Cuba uwe Mureno,Gringo,Negro kulana ni kulana tu,Vile vile aliingia Namibia na akasema kama kaburu atendeleza ushenzi wake abanduki Namibia na atasogea mpaka South,kwa kifupi waliisaidia sana MPLA dhidi ya makaburu,walipeleka wataalamu wengi Angola lakini kwenye kilimo cha miwa walifeli vibaya sana kwani miwa iliyokuwa inaota Cuba haikuweza kustawi vizuri Angola.Viva El comandante Viva Fidel Castro.
 
Back
Top Bottom