Jamhuri ya Cuba | República de Cuba

Jamhuri ya Cuba | República de Cuba

Hakuna makundi ya kihuni yanayosumbua sana huko? Huwa naona S.America ni watata sana kwa hizi mambo
 
Wacuba waliwazalisha sana wanawake wa Angola mpaka Gringo mmoja wa chombo cha habari cha makaburu akaanza kueneza propaganda kuwa wanajeshi wa Cuba wenye asili ya kihispania wamekuja kuwadhalilisha wanawake weusi kwa kuwatia mimba na kuzaaaazaa nao hovyo,Castro akajibu wao hawana tabia na utamaduni wa kishenzi na ubaguzi kama wao,Cuba uwe Mureno,Gringo,Negro kulana ni kulana tu,Vile vile aliingia Namibia na akasema kama kaburu atendeleza ushenzi wake abanduki Namibia na atasogea mpaka South,kwa kifupi waliisaidia sana MPLA dhidi ya makaburu,walipeleka wataalamu wengi Angola lakini kwenye kilimo cha miwa walifeli vibaya sana kwani miwa iliyokuwa inaota Cuba haikuweza kustawi vizuri Angola.Viva El comandante Viva Fidel Castro.
Asante Sana kwa kuchochea mada na historia hii.

Cuba alifanya oparesheni safisha!
 
Hakuna ubaguzi wa rangi huko?
Hakuna ubaguzi wa rangi kwa majority! Ni moja ya taifa lenye kujinasibisha na Afrika.

Hence hapo awali watumwa wa kiafrika walikunywa na kufikia Cuba kabla ya safari ya US.
 
Hakuna makundi ya kihuni yanayosumbua sana huko? Huwa naona S.America ni watata sana kwa hizi mambo
Makundi makundi hayawezi kukosa lakini kwa Cuba hali ni shwari kabisa, tatizo internet!
 
Wacuba waliwazalisha sana wanawake wa Angola mpaka Gringo mmoja wa chombo cha habari cha makaburu akaanza kueneza propaganda kuwa wanajeshi wa Cuba wenye asili ya kihispania wamekuja kuwadhalilisha wanawake weusi kwa kuwatia mimba na kuzaaaazaa nao hovyo,Castro akajibu wao hawana tabia na utamaduni wa kishenzi na ubaguzi kama wao,Cuba uwe Mureno,Gringo,Negro kulana ni kulana tu,Vile vile aliingia Namibia na akasema kama kaburu atendeleza ushenzi wake abanduki Namibia na atasogea mpaka South,kwa kifupi waliisaidia sana MPLA dhidi ya makaburu,walipeleka wataalamu wengi Angola lakini kwenye kilimo cha miwa walifeli vibaya sana kwani miwa iliyokuwa inaota Cuba haikuweza kustawi vizuri Angola.Viva El comandante Viva Fidel Castro.
Ni kweli kama sio Cuba, basi MPLA ingeshindwa kirahisi Sana na UNITA iliyokuwa ikisaidiwa na serikali ya makaburu, Zaire ya Mobutu na Marekani.

Ila huo mzozo ulisukumwa zaidi na Vita baridi ya wakubwa wa dunia wakati huo.
 
Nchi nyingi zilizowekewa kikwazo na Marekani zikashindwa ku survive ni zile zinazotegemea chakula kutoka nje, mahitaji ya muhimu ya kibinadamu kama madawa, nguo. Lakini nchi zenye mambo hayo na zikawa na teknolojia kubwa, wasomi na kulinda utaifa wao ni lazima wasurvive tu na vikwazo vya marekani.
 
Back
Top Bottom