Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,618
- 31,137
Shukran Sana MKUU Akulinde Sana MUUMBA.....
Shukran Sana MKUU Akulinde Sana MUUMBA.....
Ukimaliza USA angazia Mayotte kwa undaniSawa kaka, tutafika Marekani hivi karibuni.
Coffees ndo akina nan?Analosema Bujibuji ni kweli kwa kiwango chake, asilimia kubwa ya Waajentina ni wabaguzi wa rangi lakini hii naona inachagazwa na viwango kwa taifa.
Ajentina ni taifa lenye watu wa uchumi wa kati kwa asilimia 80, huku wengi wao ni asili ya Italia na Uhispania. (Majority kubwa ya Coffee's ni wenye uchumi mdogo) + (Asili ya baadhi ya Waaitaliano) hapa ndio tatizo linapoanzia.
Ntashkuru nikiwemo kwenye list yako mkuuShukrani, Mkuu Mirzska ☺
KabisaNalipenda sana bara la america(kusini na kaskazini) ...waafrika akili zetu zingekuwa zinafanya kazi vizuri tungejifunza kwa waamerika
Watu wenye asili ya AfrikaCoffees ndo akina nan?
Asante,Correction: Klabu ya Soccer ya Atletico do Mineiro ni ya Brazil na sio Argentina. Bila shaka ulitaka kuumanisha River Plate CF mahasimu wakubwa wa Boca Juniors CF...
Sawa, naanza utekelezaji hivi karibuni.Ntashkuru nikiwemo kwenye list yako mkuu
Hakika, Amerika imeendelea katika nyanja mbalimbali. Utumiaji wa rasilimali na rasilimali watu kwa ufanisi kunaleta maendeleo.Nalipenda sana bara la america(kusini na kaskazini) ...waafrika akili zetu zingekuwa zinafanya kazi vizuri tungejifunza kwa waamerika
Amezaliwa na amekulia Sanzibar, Tanzania pia anaye mpwa wake aliyezaliwa Tanzania ambaye kwa sasa ni Mbelgiji - Mtanzania.uyo mwekezaji mwenye asili ya tanzania alizaliwa na kukulia apa ama?
Cristina Elisabet Fernández de Kirchner (Mwanamke) na Alberto Fernández (Mwanaume) hawa ni majina tu ya ubini.Mkuu,Kisiasa hujagusia hata kiufupi tu,
Walikuwa na rais mwanamke Christina Fernandes naona sasa hivi yupo Alberto Fernandes vipi hawa wana Uhusiano au majina tu?
AsanteCristina Elisabet Fernández de Kirchner (Mwanamke) na Alberto Fernández (Mwanaume) hawa ni majina tu ya ubini.