Alijua ni mwizi tu huyu! Sasa napata kuelewa kwanini alitolewa rumandeJiwe kwa Nini hakumsikiliza
Kwenye 61 Trillion ni serikali gani ambayo haitokuwa interested?Mzee Ruge ataweza kufanikisha kesi hii endapo serikali itakuwa interested. Otherwise hafiki popote.
Ni kweli kabisa MkuuHuyu Mzee ndiyo mzalendo namba moja Tanzania, mzalendo wa kweli na ktk madili yake anataka siyo tu marafiki zake pekee wafahidi pesa za escrow bali hata serikali yake ipate haki yake ya kodi ili nasisi tupate huduma kama miundombinu kupitia kodi zilizokwepwa na makampuni tajwa ktk kesi hii ya kizalendo.
Mzee ameona mbali sana.Yupo sahihi huyo mzee hii kesi yao ni kubwa aiwezi kuishwa kwa kutegemea msimu wa raisi mpumbaavu ,maana jamaa kaona bora iendelee hivyo maana akija kushika hii nchi raisi mzalendo asiyekuwa mpumbavu ujue hiyo kesi bado ipo hata kama watakuwa wamekufa itaangukia familia zao na mali zao kwahiyo kaona bora wamalize wenyewe kuliko kuwaletea familia matatizo
Ni kweli.Huyu Mzee ni mwanaume kweli ,Hawezi kufanya afanyayo bila backup ,nadhani wenye Nchi wamempa go ahead.Tunamtakia Kila la heri Mungu amtie nguvu na kumsimamia.Sisimizi anaenda kumuua Tembo.Watanzania mkumbuke siku Nchi hii ikipata Rais mwenye maono ndani ya miaka kumi tu umasikini utakua historia.
Na wote tunyanyue vibuyu na vipeyu vyetu vya rubisi juu huku tukisema ..."viva Ruge...vivaaaa and hooray to the hero of the "neshion"...!😂😂😂😂😂Ni kweli kabisa Mkuu
Umesoma taarifa?The Comedy season 1 anko Mpoki anaishtaki serikali, hii nchi sijui wanatuonaje sisi wananchi, yaani Nyani anamshitaki Ngedere kwa nini kaiba mahindi.
Unadhani rugemalila ana njaa Kama wewe umelizika na kamshahara kako ka laki 9 na ka IST unajiona maisha umemalizahuyu mzee...dah.....anachokonoa mwamba wa DHAHABU kwa vidole.....sijui washauri wake ni wakina nani.....???....angenyamaza kimya nini kingemsibu.....au ndio mkuki kwa mkuki???? wa kwake ncha kainoa vema??? vita ya majasusi wastaafu na walioko kazini............wacha tulipilize bange letu....busy na machinga kwa sasa....
Tell him,boss!Mzee anajua akifanyacho na ndiyo maana hata kwa vitisho,mateso na kutupwa jela aligoma kumpa hela "zake" mwendazake!Still going stronger!Unadhani rugemalila ana njaa Kama wewe umelizika na kamshahara kako ka laki 9 na ka IST unajiona maisha umemaliza
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kwa wanaoishi Makongo juu tunamjua mzee alivyo na roho nzuri kasaidia watu wengi saaaaana. Ninavyoaema kusaidia namaanisha ..Tell him,boss!Mzee anajua akifanyacho na ndiyo maana hata kwa vitisho,mateso na kutupwa jela aligoma kumpa hela "zake" mwendazake!Still going stronger!
Masikini kwa asili hampendi aliyenacho na hamuamini.Kwa wanaoishi Makongo juu tunamjua mzee alivyo na roho nzuri kasaidia watu wengi saaaaana. Ninavyoaema kusaidia namaanisha ..
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa Kikwete anatakiwa atueleze ilikuwa je atua, vie kuwa hizo pesa zilikuwa si za Serikali.Huyu Mzee anajua mambo mengi sana ambayo serikali haiyajui ama imeyafumbia macho makusudi..
Kwa hii kesi ndio utajua hii nchi inaliwa kwa namna gani
Kikwete kuna maswali inabidi atusaidie kujibu hapa.
Moja kwa moja tunapata picha kuwa Kikwete alihusikaAjabu mtuhumiwa anasema hela ilikuwa yaserikali lakini Rais wa nchi alisema hela haikuwa ya serikali.
Mzalendo baada ya kukaa jrla miaka 4?Huyu Mzee ndiyo mzalendo namba moja Tanzania, mzalendo wa kweli na ktk madili yake anataka siyo tu marafiki zake pekee wafahidi pesa za escrow bali hata serikali yake ipate haki yake ya kodi ili nasisi tupate huduma kama miundombinu kupitia kodi zilizokwepwa na makampuni tajwa ktk kesi hii ya kizalendo.
Hii si bajeti yetu ya miaka miwili?Kwenye 61 Trillion ni serikali gani ambayo haitokuwa interested?
Lakini ujue kuna watu walikuwa behind kwenye hii kitu,, siyo mchezo mdogo,,Kuna sehemu hujaelewa, mzee rugemalira anaisaidia serikali kulipwa pesa zake.
Sio kwamba anaishitaki
Kusoma nimesoma ila naona maigizo yana endelea, kesi za kifisadi Tz ni kama story za bongo movie kwani mwisho wake unafahamika.